mnazi kipemba
Member
- Apr 2, 2012
- 48
- 10
wanajamvi,huu ni mwaka wa uchaguzi kwa chama tawala...maeneo ya mtukula mpakani mwa tz na uganda...gari la matangazo liinapita kuwaomba wanachama kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali ngazi ya shina na matawi...raia hawana habari kabisaa,wanaendelea na mambo yao....my take: viongozi wa juu huku chini chama chenu kimekufa...sosi - mimi mwenyewe.