VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Imebainika kuwa kushindwa kwa Chama cha Mapinduzi katika kuongoza Taifa hili kunatokana na uzee uliokizunguka chama hicho kila kona. Viongozi wake wote wakuu ni wazee wa zaidi ya miaka 60;
Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu. Pamoja na uzee kusifika kwa hekima na busara, lakini uzee huondoa bidii, nguvu, ubunifu na kujituma.
Uzee wa CCM na viongozi wake unatugharimu.........
Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu. Pamoja na uzee kusifika kwa hekima na busara, lakini uzee huondoa bidii, nguvu, ubunifu na kujituma.
Uzee wa CCM na viongozi wake unatugharimu.........