Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,558
Hawa jamaa wana akili na wameona mbali sana, this is political speculation unakuwa na chama kilichosajiliwa ambacho kipo kipo tu. Sababu kubwa ya kufanya hivi ni process ndefu ya kuanzisha chama kipya na ukiritimba wa msajili akiona chama imara kinaanzishwa kukabili chama tawala.
Ona jina lao halijakaa kisiasa kabisa na halina mvuto wa kisiasa lakini sheria inaruhusu kubadili jina la chama, viongozi hawajulikani kabisa kisiasa.
Hali ya siasailivyo sasa yaani kutokaa vizuri na kutoaminika ndani ya chama Tawala na kutokuwa na wagombea binafsi kunakifanya chama hicho kuwa meeting place ya watu ambao wataenda wakati kile alichosema Baba wa taifa kitatokea, mgawanyiko ndani ya CCM, msikidharau hich chama it is a force to reckon ngojeni mwaka kesho.
Give them time.
Great thinker!!!