Chama kipya chasajiliwa...

Hawa jamaa wana akili na wameona mbali sana, this is political speculation unakuwa na chama kilichosajiliwa ambacho kipo kipo tu. Sababu kubwa ya kufanya hivi ni process ndefu ya kuanzisha chama kipya na ukiritimba wa msajili akiona chama imara kinaanzishwa kukabili chama tawala.

Ona jina lao halijakaa kisiasa kabisa na halina mvuto wa kisiasa lakini sheria inaruhusu kubadili jina la chama, viongozi hawajulikani kabisa kisiasa.

Hali ya siasailivyo sasa yaani kutokaa vizuri na kutoaminika ndani ya chama Tawala na kutokuwa na wagombea binafsi kunakifanya chama hicho kuwa meeting place ya watu ambao wataenda wakati kile alichosema Baba wa taifa kitatokea, mgawanyiko ndani ya CCM, msikidharau hich chama it is a force to reckon ngojeni mwaka kesho.

Give them time.


Great thinker!!!
 
Sasa ni chama cha wakulima au cha siasa? mbona kinabagua? wangetafuta jiina lingine. Ila nawapa hongera kwani angalau wamekuwa wajasiri na kuanzisha!!

Kijiswali tu: Hivi inapofikia wakati nchi inakuwa na vyama vingi vichanga si dalili kuwa kile komavu ambacho kinatawala kimeshindwa kazi? Kwa sababu niaminivyo mimi dhana ya vyama vingi ilikuja kwa minajili ya kurekebisha utendaji kazi wa uongozi kwani mapungufu katika uongozi wa chama tawala ndiyo yanayowapa sera vyama pinzani.
 
Hawa ni wazushi wamengojea JK atowe kaulimbiu ya kilimo kwanza wakaiga au ni CCM B?
 
Hiki ni chama cha wakulima tu au na siasa mbona kinachanganya.

Kinatetea maslahi ya wakulima pekee au na wananchi wengine wa kawaida?

Du, kaaazi kwelikweli!
.
kazi kwelikweli tutaona vyama kam utitili miaka hii.bado changu chama wa wapenda soka -kinakuja.
 
Back
Top Bottom