zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Jamani, ni hivi karibuni kulikuwa kuna chama kipya cha siasa kimeanzishwa na mwana JF mmoja maarufu ajiitae MzeeMwanakijiji, alikiri kukisaidia (sikumbuki kivipi). Kama sikosei kinaitwa Acdc, kama nimekosea nisahihisheni.
Nauliza, hiki chama kimekufa utotoni? Sikisikii, si JF wala mitaani.
Nauliza, hiki chama kimekufa utotoni? Sikisikii, si JF wala mitaani.