mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
1995: NCCR Mageuzi ikiwa kileleni na kukubalika kwa wananchi....ccm walisema ni chama cha kikabila na
blah blah kibao....hadi hii leo NCCR haina mvuto tena.
2000-2005: CUF ikiwa ngangari bin jino kwa jino huku ikipendwa na wananchi...ccm wakasema ni chama
cha kidini (Uislaam) na blaah blaah kibao....mwishowe CUF wakaambiwa na ccm kuwa wafanye
siasa za kiustaarabu na CUF nao wakaingia mkenge na matokeo yake CUF inajifia taratibu.
2010- leo 2012: CHADEMA ikiwa inatikisa bungeni,mitaani,maofisini,mashuleni,mavyuoni' yaani ni full kupendwa na wananchi"....ccm wamekuja tena na this time wanasema hiki ni chama cha kikristo,ukanda na ukabila.
Sasa swali langu ni-: Hivi nyinyi CCM na wapambe wenu wote ni chama gani cha upinzani kitakuwa kizuri kwenu? Maana kila chama kinachoonyesha kukubalika kwa wananchi ni lazima mtakipaka propaganda zenye
sumu kali sana!. Nauliza tena, je ni chama gani cha upinzani ambacho kitakuwa kizuri kwenu?
blah blah kibao....hadi hii leo NCCR haina mvuto tena.
2000-2005: CUF ikiwa ngangari bin jino kwa jino huku ikipendwa na wananchi...ccm wakasema ni chama
cha kidini (Uislaam) na blaah blaah kibao....mwishowe CUF wakaambiwa na ccm kuwa wafanye
siasa za kiustaarabu na CUF nao wakaingia mkenge na matokeo yake CUF inajifia taratibu.
2010- leo 2012: CHADEMA ikiwa inatikisa bungeni,mitaani,maofisini,mashuleni,mavyuoni' yaani ni full kupendwa na wananchi"....ccm wamekuja tena na this time wanasema hiki ni chama cha kikristo,ukanda na ukabila.
Sasa swali langu ni-: Hivi nyinyi CCM na wapambe wenu wote ni chama gani cha upinzani kitakuwa kizuri kwenu? Maana kila chama kinachoonyesha kukubalika kwa wananchi ni lazima mtakipaka propaganda zenye
sumu kali sana!. Nauliza tena, je ni chama gani cha upinzani ambacho kitakuwa kizuri kwenu?