nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,513
- 19,998
hapo kwa mrema i beg to differ,.mwinyi hakumpa kile cheo ambacho hata kwenye katiba hakipo(naibu waziri mkuu) kwa uchapa kazi,.alimpa kile cheo baada ya kukamata dhahabu aliyoiba mkewe na kutaka kuisafirisha nje ya nchi,..mrema alipewa fungu lake na hicho cheo akapiga kimya,..chezea mchaga wewe