kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 159
WALE VIJANA WA ZAMANI WATAKUMBUKA MWAKA 1983 HADI MWAKA 1984 KULIKUWA NA VITA DHIDI YA WAHUJUMU UCHUMI.NAKUMBUKA REDIO TANZANIA(SASA TBC)WALIKUWA NA KIPINDI CHA "MIKINGAMANO"AMBACHO KILIKUWA KIKITOA HABARI NA KUWAFICHUA WAHUJUMU UCHUMI.WIMBO ULIOTAMBULISHA KIPINDI HICHO ULIKUWA NA MANENO YAFUATAYO:
MWIMBISHAJIChama, chama kimetukomboa chama.
WAITIKIAJI:Chama,chama kimetukomboa chama.
MWIMBISHAJI;Watanzania,wanamapinduzi ni C.C.M yajenga nchi.
WAITIKIAJI:Watanzania,wanamapinduzi ni C.C.M yajenga nchi.
Vipi wana JF huu wimbo unaweza kuimbika sasa katika midomo ya watanzania?
MWIMBISHAJIChama, chama kimetukomboa chama.
WAITIKIAJI:Chama,chama kimetukomboa chama.
MWIMBISHAJI;Watanzania,wanamapinduzi ni C.C.M yajenga nchi.
WAITIKIAJI:Watanzania,wanamapinduzi ni C.C.M yajenga nchi.
Vipi wana JF huu wimbo unaweza kuimbika sasa katika midomo ya watanzania?