Chama kikuu cha Upinzani - Mapato na Matumizi ya Ruzuku

Gamba Jipya

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
401
80
Kwa kuwa vyama vya upinzani vinapewa fedha ya ruzuku kutoka serikali ya CCM, Ni vyema na haki kwa wananchi kuelewa mapato na matumizi ya hizo ruzuku na tusisubiri report kutoka kwa CAG, kwa kuwa CDM ni chama kikuu cha upinzani huku kikiwa na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ingekuwa vizuri wakatueleza ni kiasi gani cha ruzuku wanachopata kila mwezi na matumizi yake yakoje,

Kwenye makabrasha yangu inaonesha serikali ya CCM hukipatia chama cha CDM takribani sh. milioni mia saba tsh 700,000,000 kila mwezi ili chama hicho kiweze kujikimu na ugumu wa maisha na kupata posho za kufanya mikutano ya hadhara na maandamano mbalimbali nchini.
 
Kwa kuwa vyama vya upinzani vinapewa fedha ya ruzuku kutoka serikali ya CCM, Ni vyema na haki kwa wananchi kuelewa mapato na matumizi ya hizo ruzuku na tusisubiri report kutoka kwa CAG, kwa kuwa CDM ni chama kikuu cha upinzani huku kikiwa na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ingekuwa vizuri wakatueleza ni kiasi gani cha ruzuku wanachopata kila mwezi na matumizi yake yakoje,

Kwenye makabrasha yangu inaonesha serikali ya CCM hukipatia chama cha CDM takribani sh. milioni mia saba tsh 700,000,000 kila mwezi ili chama hicho kiweze kujikimu na ugumu wa maisha na kupata posho za kufanya mikutano ya hadhara na maandamano mbalimbali nchini.

Unatakaje!??
Tuma Auditors wa CCM
Serikali ya CCM??? MMmmmmmmmmmmmmmmmm!!!!!!!!!!!
 
sasa unataka nini hapa yakhe...??? ushaeleza kila jambo linalohusu madhumuni ya ruzuku,sijui unataka ligi ya ndani vodacom au uefa au ya laliga?
Mie nakugongea senks kwa madhumuni ya ruzuku tuu mengine sioni..
Ila ssm kwishney...
 
Kuna tofauti kati ya serikali na chama. Hakuna serikali ya ccm. Serikali ni ya wananchi wa Tanzania, na fedha ni za wananchi pia. Ccm 'limepata' udhuru wa kuongoza hiyo serikali, na wanaweza kuondolewa madarakani na chama kingine chochote cha siasa kitakachochaguliwa na wananchi wa Tanzania. Vyama vya siasa, ukijumlisha ccm, vinaweza kufa au kufutwa, lakini kamwe huwezi kufuta serikali ya wananchi wa Tanzania.
 
Kwa kuwa vyama vya upinzani vinapewa fedha ya ruzuku kutoka serikali ya CCM, Ni vyema na haki kwa wananchi kuelewa mapato na matumizi ya hizo ruzuku na tusisubiri report kutoka kwa CAG, kwa kuwa CDM ni chama kikuu cha upinzani huku kikiwa na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ingekuwa vizuri wakatueleza ni kiasi gani cha ruzuku wanachopata kila mwezi na matumizi yake yakoje,

Kwenye makabrasha yangu inaonesha serikali ya CCM hukipatia chama cha CDM takribani sh. milioni mia saba tsh 700,000,000 kila mwezi ili chama hicho kiweze kujikimu na ugumu wa maisha na kupata posho za kufanya mikutano ya hadhara na maandamano mbalimbali nchini.

This is a big CRAP.

Hii kwa kuwa kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa,vyama vyote vyenye wabunge hupatiwa ruzuku.Vyama vyenye wabunge ambavyo hupatiwa ruzuku na serikali kwa MUJIBU WA SHERIA ni CCM,CUF,NCCR-Mageuzi,TLP na CHADEMA.

Sio CHADEMA tu ndiyo inayopatiwa ruzuku hata vyama vingine nilivyovitaja navyo hupatiwa ruzuku.Sasa hapa sijui point yako nini ?? au una nyege za kishoga
 
CCM pia hupata ruzuku toka Serikalini na kwa kuwa CCM ni chama kilichopora uongozi wa nchi waeleze waanze wao kutoa matumizi ya hizo ruzuku na pia waeleze ziara za mama salma na Riz1 huwa zinagaramiwa na nani.
 
Kwa kuwa vyama vya upinzani vinapewa fedha ya ruzuku kutoka serikali ya CCM, Ni vyema na haki kwa wananchi kuelewa mapato na matumizi ya hizo ruzuku na tusisubiri report kutoka kwa CAG, kwa kuwa CDM ni chama kikuu cha upinzani huku kikiwa na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ingekuwa vizuri wakatueleza ni kiasi gani cha ruzuku wanachopata kila mwezi na matumizi yake yakoje,

Kwenye makabrasha yangu inaonesha serikali ya CCM hukipatia chama cha CDM takribani sh. milioni mia saba tsh 700,000,000 kila mwezi ili chama hicho kiweze kujikimu na ugumu wa maisha na kupata posho za kufanya mikutano ya hadhara na maandamano mbalimbali nchini.


Salva bosi wako magogoni hajambo?? Umekuja na koti lingine lakini werevu tushakung'amua :alien:!!
 
Muuliza hoja ameomba chama kikuu cha upinzani kiweke mapato na matumizi yake hadharani wanchii waone ili kujenga democrasia sasa mnambeza na kumdhihaki jamani...? hata kama mawazo yake ni finyu yenu ni limted msaidieni na sio kumzogoa sijaona jambo baya alilouliza hapo mpaka mumwambie ametumwa na ccm, naona ushauri aliotoa ni changamoto kwa chadema kulifanyia kazi ili iweze kujiongezea heshima na uadilifu iliyojenga kwa wananchi kwa kuwa wazi zaidi, kama katumwa na ccm je hao ccm wameshaweka mapato yao na matumizi hadharani lini?? hamuoni atakuwa ametumwa kuwa amsha na kuwakumbusha technical za siasa? nyie great thinker hamuoni chadema kufanya hivo itakuwa imevunja historia? naamini hakuna chama hata ccm haijawahi kuweka mapato na matumizi hadharani...ongeeni kwa maslahi ya taifa na sio u ccm au u cdm kama kweli nyie ni great thinker...wazee walisema usimpuuzie mlevi hata siku moja maana huwa mlevi haongeagi uongo, na muheshimu mjinga maana anaweza kukushauri au kukujulisha jambo fulani ambalo lingekuwa na madhara kwako kama asingekwambia...nyie wote huku jamvini ni % 15 tuu labda ndio wenye upeo na sidhani kama wewe na wanaoku support kama mna vigezo vya kuwa great thinker siasa kandamizi zimewachakachua mpaka akili...Pfuuuuuuuuuu




sasa unataka nini hapa yakhe...??? ushaeleza kila jambo linalohusu madhumuni ya ruzuku,sijui unataka ligi ya ndani vodacom au uefa au ya laliga?
Mie nakugongea senks kwa madhumuni ya ruzuku tuu mengine sioni..
Ila ssm kwishney...
 
kuna tofauti kati ya serikali na chama. Hakuna serikali ya ccm. Serikali ni ya wananchi wa tanzania, na fedha ni za wananchi pia. Ccm 'limepata' udhuru wa kuongoza hiyo serikali, na wanaweza kuondolewa madarakani na chama kingine chochote cha siasa kitakachochaguliwa na wananchi wa tanzania. Vyama vya siasa, ukijumlisha ccm, vinaweza kufa au kufutwa, lakini kamwe huwezi kufuta serikali ya wananchi wa tanzania.
asante mkuuu!
 
Kusafisha nyumba unaanzia ndani we b**ge, mbona huhoji matumizi ya bil.12 walizopewa mabosi wako Chama Cha Magamba na bil.3.43 walizopewa wenzi wenu CUF 2009 kama kweli una uchungu na hii nchi?? Acha kufikiri kwa kutumia tumbo!!! :spy:
 
jibu au changia hoja ndio uulize swali...we mtanganyika nini?


CCM pia hupata ruzuku toka Serikalini na kwa kuwa CCM ni chama kilichopora uongozi wa nchi waeleze waanze wao kutoa matumizi ya hizo ruzuku na pia waeleze ziara za mama salma na Riz1 huwa zinagaramiwa na nani.
 
Kwann ume base zaidi ktk CDM?, hakuna vyama vngne vnavyopata ruzuku???????????????. CCM nao vp?
 
Back
Top Bottom