Chama gani mbadala kwa CCM?

huenda ameongea kifalsafa zaidi. CDM inaweza kuchukua madaraka lakini ni mbadala wa CCM au na yenyewe itakuwa ni yaleyale ya CCM? CDM imejipangaje kuchukua nchi ama ni kwa sababu tu CCM inaboronga basi watu wakakimbilia CDM? Unaweza kuruka majivu ukakanyaga moto! Tungetambua kwanza muktadha wa neno mbadala.

Leo umekuwa na akili kidogo.
umekomaa.
 
Mimi nadhani hapa watu wamejikita kwenye hoja ya Chama tawala kitoke na mbadala uwe chadema Mimi sina tatizo na Hilo ,

Ila swali hapa ni unadhani wakiingia chadema hulka za watu wote mioyoni zitachange? Definitely NO..

Wezi watabaki kuwa wezi, Rushwa itaendelea kuwepo na pengine hujuma itaendelea kuwepo haswa kwa wale ambao ni wafuasi wa vyama vingine watahijumu nchi kwa makusudi.

Sasa hoja nadhani iwe Mfumo upi tunautaka uongoze nchi yetu na si Chama kipi km kweli tunaitakia nchi yetu mema lakini sio tumekua wajinga wa kushabikia tusichonufaika nacho

Kwani namimi Nina akili timamu I can be anybody ila tu sio sote tunaweza kua politicians lakini ningependa kuongozwa na Mfumo badala ya Mtu au Chama mfano, we all knows how to drive but what if there is no traffic light ? It is damn chaos.

Kwahiyo badala ya kuwatafutia *wengine ulaji ni vyema tukawa Realistic hapa,
Kwani kila Mtu anakimbilia siasa kwakua kuna upuuzi whether it be CCM or CDM or CUF wao lengo Lao ni kupata uhalali wa kutawala na kuongoza kwa kupata viti na majimbo na popularity that's it!

Kwanini nasisitiza Mfumo hapa?

Mfumo ndio uwe hukumu ya watawala na watu tuanaowapa dhamana ya kutuongoza na Mfumo ukiwa mzuri sidhani Kama kuna *atakae kimbilia siasa, ila Mfumo uliopo sasa ni collapsed hauwawajibishi Chama chochote I'm afraid to we are going to face the same shit were facing now if we can't figure out what best we want ? How to get it ! If we choose to show to each other who is who when it comes to criticism? We are no providing the permanent solutions to our problems instead we partially address them ... Tena Mbaya Zaidi humu ndani.

Mfano..
USA kuna Taxi, huwezi kujua taxi driver anapata kiasi gani kwa siku Kama ukiwa umemwambia kwa siku lete 80 pengine haipati au anapata Zaidi sasa ili kuondoa Mfumo HOLELA wenzetu wameweka Mfumo ambao Mteja anapata haki yake,driver anapata haki yake na pia mmiliki anapata haki yake., Kwani unapoingia kuna count machine yakukujulisha wewe km Mteja mwisho wa siku utalipa kiasi gani na pia mmiliki nae system inamjulisha kua taxi no Fulani inamteja na amelipwa kiasi gani kwa ni mwisho wa siku ni printout ndio inamfanya driver awasilishe alichopata ndio maana driver wanategemea Mshahara na tips toka kwa wateja tu kwahiyo Mfumo umewadhibiti .

Kwahiyo nadhani huu ni mfano..
Kama kungekua na Mfumo ambao ni mzuri iwe CDM , CCM au TLP au CUF wote Hawa Siasa isingekua kimbilio na kila Mtu angeogopa kua mwanasiasa badala ya Sasa kila Chama kinavutia kwake na sisi Bahati Mbaya tumekua wajinga sna.

Mfumo ndio hoja inayotakiwa kwa sasa badala ya kuwa wajinga wa itikadi na kila Mtu kuona kua kikiingia Chama Fulani kila kitu kitakua pepo... Ni ujinga
 
Kauli ya jana ya Dr Bana ni muendelezo wa kauli zake nyingi za kiuwekezaji ndani ya CCM. Dr Bana ana malengo na matumaini ya mbali kwa CCM. Kwa vyovyote vile anasubiri uteuzi mzito tu ambao kwa bahati mbaya unacheleweshwa. Kabila yake wengi wao wako hivo kwa watawala. Nape alimsifu jana. Huenda baada ya uchaguzi wa CCM mambo yakawa tofauti.
Aliyenishangaza jana alikuwa Ayoub Ryoba ambae alikuwa akiongea kwa tahadhari kubwa kuliko nilivyomtarajia.
 
kupenda kubaya hasa kukiambatana na kujikomba, Dr Bana Amesahau CUF walisma wamtaji wa kura 10,000 Igunga! Noma ikapingwa wakangukia pua. Nampa pole Dr. Bana kwa kukumbatia Ushabiki na kudhalilisha taaluma yake!
 
Dr. Bana hongera kwa kuweka mambo hadharani, waache wapinzani walie tu; HAKUNAGA KAMA CCM!!!!!
 
Huyu jamaaa na camp ya redet camp ya udsm si ndio walifanya utafiti wakasema ccm itashinda kwa asimilimia 80 uchaguzi 2010.......halafu mwisho wa siku wakadondoka ccm walishinda asimilimia 42 au mmesahau
 
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..

Anae pinga na hili basi huyo akili yake ni kama ya embe dodo

 
si shangai kwa huyu they so called dr kwani wametwekwa na siasa zaidi ya ukweli na taaluma:embarassed2:
 
REDET na Bana hawana jipya bado wana mfumo wa kizamani.Kwa ridigity yao imewafanya watu wa kada yao kushindwa kuchukua maamuzi magumu ya mabadiliko kwa ajili ya nchi yetu.
 
Benson Bana a.k.a Bunsen Burner pambaf kabisa!
Huyu tunajua analipwa na Chama Cha Magamba ili awajengee imani kwa Wadanganyika! Ni upuuzi na uongo wa hali ya juu kusema kuwa hakuna chama mbadala ya CCM. Si kweli hata kidogo.

Hivi anailinganisha vipi CDM na CCM? Nani ni smart na makini kuliko mwenzake? Kuwa kwenye madaraka kwa sasa tena kwa kura za wizi si kigezo cha kuwa CCM ndiyo wanaweza kuongoza peke yao.
 
Dr. Bana, kwa hilo namuona ana muono wa upeo mkubwa sana.

Hivi uchukulie mfano wa magwanda, si watasusia nchi hawa mambo yakienda kombo kidogo. Mzee wa kiraracha nachama chake wamesha salim amri, NCCR ndio hoi bin Taaban, CUF ndio tayari na kushinda kwao uchaguzi wa visiwani lakini wamejijuwa kuwa chama chao hakiwezi kuongoza na wameridhia kuongozwa na CCM.

Bana kwa hili uko juu. Wengi sana wanafikiria kupiga kelele na kushinikiza maandamano na kususa ndio kuongoza? hapana. Wangeona mfano Egypt, huko sasa tunaona hata washabiki wa mpira wanauana hovyo.

Nadhani viongozi wa magwanda wameliona hilo na sasa wamebadilika, nilipowaona wanakwenda Ikulu na kunywa juisi kwa kashata nikajuwa, sasa hawa ndio wanaanza siasa, wakiendelea hivyo, baada ya miaka 20, wajukuu wa waasisi wa hiyo kampuni wanaweza kuongea mengine.
CCM imeshindwa kutetea maslahi ya waTz so hata wao wanakosa uhalali wa kuongoza kwa kuwa hawajali mslahi ya walio waweka madarakani.
 
Dr. Bana, kwa hilo namuona ana muono wa upeo mkubwa sana.

Hivi uchukulie mfano wa magwanda, si watasusia nchi hawa mambo yakienda kombo kidogo. Mzee wa kiraracha nachama chake wamesha salim amri, NCCR ndio hoi bin Taaban, CUF ndio tayari na kushinda kwao uchaguzi wa visiwani lakini wamejijuwa kuwa chama chao hakiwezi kuongoza na wameridhia kuongozwa na CCM.

Bana kwa hili uko juu. Wengi sana wanafikiria kupiga kelele na kushinikiza maandamano na kususa ndio kuongoza? hapana. Wangeona mfano Egypt, huko sasa tunaona hata washabiki wa mpira wanauana hovyo.

Nadhani viongozi wa magwanda wameliona hilo na sasa wamebadilika, nilipowaona wanakwenda Ikulu na kunywa juisi kwa kashata nikajuwa, sasa hawa ndio wanaanza siasa, wakiendelea hivyo, baada ya miaka 20, wajukuu wa waasisi wa hiyo kampuni wanaweza kuongea mengine.

FaizaFoxy,

Hebu acha porojo zako mwanamama. Kama hauna la kusema ni bora unyamae kimya!
Mpaka sasa Chama ambacho kimeonekana makini katika kuikosoa serikali na kuipa changamoto zenye mashiko ni CHADEMA. Changamoto hizo ziko wazi hata kwa kipofu.Kwa uchache tu labda tuzitaje kwa faida yako na wenzio wa Magamba:
  1. CHADEMA waliamua kutoka BUNGENI kupinga namna Uchaguzi ulivoendeshwa 2010 kwa kususia hotuba ya Kiwete na KUDAI Katiba mpya. Baada ya siku chache Kiwete alikubaliana na mawazo ya CDM na sasa tunazungumzia mchakato wa Katiba mpya. Kazi ya CHADEMA.
  2. CHADEMA wamegoma na kususia kikao cha Katiba mpya kwa kupinga vipengele vya kijinga kwenye mswada huo. Wakaamua kumwona Kiwete Ikulu akakubali. Kilichotokea ni kwamba Bunge linakaa tena Kupitia Mswada huo upya kuufanyia marekebisho. Kazi ya Chadema.
  3. CHADEMA wamepinga kwa nguvu zote tangu mwanzo kuhusu Posho za WABUNGE KUONGEZWA/KULIPWA. CCM wakapinga na kutetea. Sasa Mkuu wa Kaya Bwana Kiwete amekanusha kuwa alibariki malipo hayo ya Posho za Wabunge toka 70,000/= mpaka 200,000/=. Kazi ya CHADEMA.
  4. n.k. na n.k.
Kwa maana nyingine CHADEMA ndiyo inayoongoza nchi hii ikiwa nje ya Ikulu!!!Kwamba kila kinachozungumzwa na CHADEMA ndicho CCM wanachokifanyia kazi. Sasa nani anapaswa amwongoze mwenzake. Lazima ukweli uzungumzwe na watu waache unafiki.
 
Hangover ya kukulia katika mfumo wa chama kimoja. Unfortunately, it is too late for him to change. Kwamba hataki mabadiliko haimanishi kwamba hayatatokea.

Uko sahihi Mkumbo, huyu jamaa hofu yake ni kuwa CCM ikipoteza madaraka ndoto yake ya kupata hiyo riziki ya kulenga na manati ndo basi! Huyu ni mchumia tumbo, mtapoteza wakati kuchambua anachokimaanisha.
 
hakuna wa kushangaa kwa maneno ya bunsen burner maana ni mchumia tumbo kutoka ccm hawezi akatumia takwimu za uchaguzi uliopita ilihali akijua nn kimefanyika kwenye uchaguzi ule. hoja yake nyepesi sana ukiangalia uchaguzi wenyewe haukuwa huru ule ukiangalia wabunge wa upinzani waliochaguliwa mpaka waliandamana ndo wakatangazwa leo anatuambia nn bwana bana.
 
Mimi nadhani hapa watu wamejikita kwenye hoja ya Chama tawala kitoke na mbadala uwe chadema Mimi sina tatizo na Hilo ,

Ila swali hapa ni unadhani wakiingia chadema hulka za watu wote mioyoni zitachange? Definitely NO..

Wezi watabaki kuwa wezi, Rushwa itaendelea kuwepo na pengine hujuma itaendelea kuwepo haswa kwa wale ambao ni wafuasi wa vyama vingine watahijumu nchi kwa makusudi.

Sasa hoja nadhani iwe Mfumo upi tunautaka uongoze nchi yetu na si Chama kipi km kweli tunaitakia nchi yetu mema lakini sio tumekua wajinga wa kushabikia tusichonufaika nacho

Kwani namimi Nina akili timamu I can be anybody ila tu sio sote tunaweza kua politicians lakini ningependa kuongozwa na Mfumo badala ya Mtu au Chama mfano, we all knows how to drive but what if there is no traffic light ? It is damn chaos.

Kwahiyo badala ya kuwatafutia *wengine ulaji ni vyema tukawa Realistic hapa,
Kwani kila Mtu anakimbilia siasa kwakua kuna upuuzi whether it be CCM or CDM or CUF wao lengo Lao ni kupata uhalali wa kutawala na kuongoza kwa kupata viti na majimbo na popularity that's it!

Kwanini nasisitiza Mfumo hapa?

Mfumo ndio uwe hukumu ya watawala na watu tuanaowapa dhamana ya kutuongoza na Mfumo ukiwa mzuri sidhani Kama kuna *atakae kimbilia siasa, ila Mfumo uliopo sasa ni collapsed hauwawajibishi Chama chochote I'm afraid to we are going to face the same shit were facing now if we can't figure out what best we want ? How to get it ! If we choose to show to each other who is who when it comes to criticism? We are no providing the permanent solutions to our problems instead we partially address them ... Tena Mbaya Zaidi humu ndani.

Mfano..
USA kuna Taxi, huwezi kujua taxi driver anapata kiasi gani kwa siku Kama ukiwa umemwambia kwa siku lete 80 pengine haipati au anapata Zaidi sasa ili kuondoa Mfumo HOLELA wenzetu wameweka Mfumo ambao Mteja anapata haki yake,driver anapata haki yake na pia mmiliki anapata haki yake., Kwani unapoingia kwenye taxi kuna count machine yakukujulisha wewe km Mteja mwisho wa siku utalipa kiasi gani na pia mmiliki nae system inamjulisha kua taxi no Fulani inamteja na amelipwa kiasi gani kwa ni mwisho wa siku ni printout ndio inamfanya driver awasilishe *alichopata siku nzima ndio maana driver wanategemea Mshahara na tips toka kwa wateja tu kwahiyo Mfumo umewadhibiti na uko centralized*

Kwahiyo nadhani huu ni mfano..
Kama kungekua na Mfumo ambao ni mzuri iwe CDM , CCM au TLP au CUF wote Hawa Siasa isingekua kimbilio na kila Mtu angeogopa kua mwanasiasa badala ya Sasa kila Chama kinavutia kwake na sisi Bahati Mbaya tumekua wajinga sna.

Mfumo ndio hoja inayotakiwa kwa sasa badala ya kuwa wajinga wa itikadi na kila Mtu kuona kua kikiingia Chama Fulani kila kitu kitakua pepo... Ni suala la. Kuamua kuwa na Mfumo ambao viongozi wakimbie siasa na kuona ni mzigo usiobebeka
 
Benson Bana anajidhalilisha tu yeye binafsi na hadhi ya elimu yake kama kweli aliipata kihalali!! Na zaidi ya hayo ni mchumia tumbo tu na ni gamba tu hana lolote!! Afadhari hata ya mtu wa darasa la 7 kuliko hiyo PhD yake! Shame on him!!
 
Back
Top Bottom