chuki
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,715
- 533
huenda ameongea kifalsafa zaidi. CDM inaweza kuchukua madaraka lakini ni mbadala wa CCM au na yenyewe itakuwa ni yaleyale ya CCM? CDM imejipangaje kuchukua nchi ama ni kwa sababu tu CCM inaboronga basi watu wakakimbilia CDM? Unaweza kuruka majivu ukakanyaga moto! Tungetambua kwanza muktadha wa neno mbadala.
Leo umekuwa na akili kidogo.
umekomaa.