Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa
nawasilisha
Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa
nawasilisha
Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa
nawasilisha
Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa
nawasilisha
Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa
nawasilisha
Ni vigumu kubashiri sasa hivi, kwani katiba iliyoko mchakatoni inaweza kuruhusu vyama kuungana kama ilivyo Kenya. katiba ya sasa hairuhusu vyama kuungana.
nadhani ni mapema mno kulisemea sasa, ingawa alama za nyakati zinaonyesha dhahiri mwelekeo wa wananchi ktk kuamini nguvu ya umma, miaka mi5 ni muda, mengi yanaweza kuendelea hapa katikati mfano kusajiliwa chama kingine au vingine vikafutwa kabisa, nguvu ya umma inaweza ikafanya makubwa zaidi ikishasambaziwa elimu ya uraia kwa tz yote bara na visiwani. kumbuka katiba mpya ndo itaviweka vyama vyote sawa kwa kuanza, then jitihada binafsi hasa zenye dhamiri ya dhati ya kuondoa kero za wa tz zitavitofautisha vyama hivi kwa hoja ya nguvu ya umma. amini usiamini umma si mchezo!!Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa
nawasilisha
Mkuu,
Hii kazi ya unajimu, utabiri imemshinda hata shk. yahya.
Bora tusubiri tu, tuone mwenendo wa katiba na sheria ya vyama vingi itakuwa na sura gani. baada ya hapo tutaweza kufanya utabiri kama Mzee wetu.
Migogoro au kutofautiana mawazo,hoja ni ya kawaida katika vyama.
This can correctly be answered by the Magomeni based .... Yahya.Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa
nawasilisha