Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wanandugu tarehe 20 mwezi wa kuminamoja tunatarajia kupata usajili rasmi wa chama cha wanaume wanaoopigwa na wakezao tanzania..
kumekuwa na wanaume wengi sana wanaofanyiwa vitu vingi na kushindwa kuwa wa wazi..mmoja wapo wakati tukifanya utafiti kwenye familia za wanaopigwa na wake zao...wengi wao walikubali hali halisi...na wengine ni kutokana na matatizo yao wanayofanya juu ya wake zao.....
tunawapongeza wale wote waliofanikisha kupata usajili huu vile vile tunawapongeza wamama kwa kuwapa adabu waume zao pale wanapoleta ujinga kwenye familia
WITO
Wanamama msikate tamaa hii ni kionjo tu.......,wakileta ujinga CHAPENI MAKOFI..NARUDIA CHAPENI MAKOFI KAMA NYIE MSIPOWAFUNDISHA WAUME ZENU NANI ATAWAFUNDISHA..NYUMBA NDOGO SIKU ZOTE ZINANYENYEKEA KUPATA HAKI ZENU...ZO NI NYIE MTAKAOWEZA KUNGANGANIA AMA KUZIACHIA HAKI ZENU.......
kumekuwa na wanaume wengi sana wanaofanyiwa vitu vingi na kushindwa kuwa wa wazi..mmoja wapo wakati tukifanya utafiti kwenye familia za wanaopigwa na wake zao...wengi wao walikubali hali halisi...na wengine ni kutokana na matatizo yao wanayofanya juu ya wake zao.....
tunawapongeza wale wote waliofanikisha kupata usajili huu vile vile tunawapongeza wamama kwa kuwapa adabu waume zao pale wanapoleta ujinga kwenye familia
WITO
Wanamama msikate tamaa hii ni kionjo tu.......,wakileta ujinga CHAPENI MAKOFI..NARUDIA CHAPENI MAKOFI KAMA NYIE MSIPOWAFUNDISHA WAUME ZENU NANI ATAWAFUNDISHA..NYUMBA NDOGO SIKU ZOTE ZINANYENYEKEA KUPATA HAKI ZENU...ZO NI NYIE MTAKAOWEZA KUNGANGANIA AMA KUZIACHIA HAKI ZENU.......