kapingili
Senior Member
- Jul 4, 2012
- 155
- 192
Chama cha wananchi cuf kimenifurahisha suala moja kilipo fika nachingwea kimefanya jambo ambalo ni mfano kwa vyama vingine vya siasa.
Jambo ni kuwachangisha kiasi fulani cha pesa ambachokitasaidia masuala fulani ya jamii mfano ELIMU,MIUNDOMBINU,nk.laitikama viongozi wengine wngekua na moyo kama hu mi nadhani tungekua mbali mfano wanapo kuja chama cha chadema wakachangisha pesa. Pesa iliyo patikana ikasaidia kufanya mambo mengine.
Kwahiyo ombi langu kwa wana siasa wengine ni WAGOMBEA WASHINDANE KWA MAENDELEO NA SI MANENO KAMA UME SHINDA USIENDE IKULU AU BUNGENI MOJA KWA MOJA UKAWASAHAU WANANCHI MOJA KWA MOJA wabillahi tawfiq
Jambo ni kuwachangisha kiasi fulani cha pesa ambachokitasaidia masuala fulani ya jamii mfano ELIMU,MIUNDOMBINU,nk.laitikama viongozi wengine wngekua na moyo kama hu mi nadhani tungekua mbali mfano wanapo kuja chama cha chadema wakachangisha pesa. Pesa iliyo patikana ikasaidia kufanya mambo mengine.
Kwahiyo ombi langu kwa wana siasa wengine ni WAGOMBEA WASHINDANE KWA MAENDELEO NA SI MANENO KAMA UME SHINDA USIENDE IKULU AU BUNGENI MOJA KWA MOJA UKAWASAHAU WANANCHI MOJA KWA MOJA wabillahi tawfiq