Wandugu tujadili bila jazba ili kuweka maana halisi ya kufa kwa chama cha siasa.
Kwa nionavyomie chama cha siasa kinakufa pale kinapokiuka misingi yake, kukosa support ya mwananchi na kinapopoteza mwelekeo wake. Nafikirir hii ndio maana kubwa ya kufa kwa chama cha siasa.
Tufanye Syria kama case study....hivi chama kinachotawala syria bado hakijafa tuu??ingawa kinatawala...je utawala wa mabavu ni uhai wa chama cha siasa.
Nafikiri kushindwa kwa chama cha siasa kushika dola sio kuwa ndio maana ya kufa kwa chama kama inavyotafsiriwa na waliowengi, CCM ikishindwa kushika dola bado itabakia kama chama cha upinzani na sio kuwa kimekufa mfano ni KANU kenya.
Tujadili.....
Kwa nionavyomie chama cha siasa kinakufa pale kinapokiuka misingi yake, kukosa support ya mwananchi na kinapopoteza mwelekeo wake. Nafikirir hii ndio maana kubwa ya kufa kwa chama cha siasa.
Tufanye Syria kama case study....hivi chama kinachotawala syria bado hakijafa tuu??ingawa kinatawala...je utawala wa mabavu ni uhai wa chama cha siasa.
Nafikiri kushindwa kwa chama cha siasa kushika dola sio kuwa ndio maana ya kufa kwa chama kama inavyotafsiriwa na waliowengi, CCM ikishindwa kushika dola bado itabakia kama chama cha upinzani na sio kuwa kimekufa mfano ni KANU kenya.
Tujadili.....