Mdomo Mwepesi
Member
- Apr 19, 2011
- 67
- 93
Ni masikitiko kwa jinsi CCM ilivyowapindua wananchi wake na taifa lao kwa kuwafanya:
1: kuwa taifa lenye njaa miaka nenda rudi
2: Kuwa taifa tegemezi na ombamba badala ya kujitegemea
3: Kuwa taifa la wababaishaji badala ya watendaji
4: Kuwa taifa la mafisadi na wala rushwa badala ya taifa la waadilifu
5: Kuwa taifa la kuendekeza vikao na semina kwa ajili ya posho badala ya kuongeza tija kwa kufanya kazi kwa bidii
6: Kuwa taifa ambalo baba wa nyumba ni kiguu na njaa kila kukicha!
1: kuwa taifa lenye njaa miaka nenda rudi
2: Kuwa taifa tegemezi na ombamba badala ya kujitegemea
3: Kuwa taifa la wababaishaji badala ya watendaji
4: Kuwa taifa la mafisadi na wala rushwa badala ya taifa la waadilifu
5: Kuwa taifa la kuendekeza vikao na semina kwa ajili ya posho badala ya kuongeza tija kwa kufanya kazi kwa bidii
6: Kuwa taifa ambalo baba wa nyumba ni kiguu na njaa kila kukicha!