Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Mbona watu wa CCM mmelivalia njuga sana hili la ushoga au limegusa interest zenu? (sitaki nataka).Wanabodi.
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kinatakiwa kiweke wazi msamamo kwa watanzania mahusiano yao na chama cha Conservative cha Uingereza..
Conservative ni wadhili wakubwa wa Chadema wanawapa misaada mingi sana Chadema.
Tunakumbuka 2005 na 2010 Chadema walipokea misaada mingi kutoka Conservative, Pikipiki, Magari, Baiskeli, pamoja na pesa..
Waziri mkuu wa Uingereza Davidi Cameron, kutoka chama cha Conservative, alitoa kauli kwenye mkutano wa nchi wanachama wa Jumuia ya Madola (CHOGM) uliofanyika Perth, Australia..
Nchi zinazoomba misaada kwao zitambue haki za mashoga kama moja ya masharti ya kupewa misaada hiyo..
Tunaomba viongozi wa Chadema walitolee maelezo jambo hili sababu kati ya wanaopokea misaada Chadema nao inapokea
Nyie hangaikeni lao hiyo si sera ya Chadema, Chadema haina muda wa kupoteza kuzungumzia ushenzi unaofanywa na CCM ina mambo mengi ya msingi ya kushughulikia likiwemo kupanda kwa gharama za maisha.