Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Na hivi Husninyo ndo ameshatutaarifu, yaani ndo sitajibu hata moja kabisaaa!
Umeona eeh!
Tatizo ukiwa mstaarabu watu wanatake advantage; anyway namsalute sana Husninyo kushare hii kitu.
Na hivi Husninyo ndo ameshatutaarifu, yaani ndo sitajibu hata moja kabisaaa!
Kipipi nimesema MODS watoe ruhusa majina ya wahusika yawekwe hadharani maana yanaweza kuwekwa wakaamua kuifuta hii thread.
Kwa lipi hasa mkulu? huoni kwamba huko kutakuwa ni kuhukumu kwa kutumia ushahidi wa upande mmoja? Hata makosa yenyewe ni ya kitoto sana. Labda kosa kidogo kwa yule aliyekopa pesa na kuingia mitini, lakini kwa hali ngumu ya maisha bado it is still understandable....MODS itakuwa vizuri sana mkimruhusu Husninyo ayaweke hadharani majina ya wahusika ili wajulikane kwa umma wa JF na kisha wapewe kifungo cha maisha.
Hahah Shemeji acha bana........
Hussy mydia, remember wewe si mwanamke (member mwenye avatar ya kike) peke yako ambaye unatongozwa, kama hakuhusu mpotezee mydia, hulka ya binadamu haitabiriki aisee! Ukimindi ni kwamba nawe umevutika...................achana naye mpotezee
Mpotezee aisee
Umeona eeh!
Tatizo ukiwa mstaarabu watu wanatake advantage; anyway namsalute sana Husninyo kushare hii kitu.
Si sababu wanajua hakuna namna mods waruhusu hilo?Kwa lipi hasa mkulu? huoni kwamba huko kutakuwa ni kuhukumu kwa kutumia ushahidi wa upande mmoja? Hata makosa yenyewe ni ya kitoto sana. Labda kosa kidogo kwa yule aliyekopa pesa na kuingia mitini, lakini kwa hali ngumu ya maisha bado it is still understandable.
Kule Siasa kuzuri, hakuna mtu anabother na maPM; dawa nyingine ni kubase kule; ingawa nako kuna mapressure ya Ufisadi!
Hahaha.....Naunga mkono hoja ya BAK watajwe wote, tuone jinsia za Mods zikibadilika
Hahah yani km invizibo na uanaume wake tu anatisha kama wasira. Akibadilika jinsia si itakuwa version ya pili ya bi kidude?
Hivi Husn anaishi Tanzania? Basi kama si wewe umetufukuzia basi atakuwa klorokwini. Jamaa linatongozaga mpk midume asee. Likiona jina limekaa kikike lenyewe linawahi PM. Nakumbuka mara ya mwisho kidogo tumwagiwe maji moto... Siku zote alikuwa anamtongoza mwanajamiione bila kujua kumbe mj1 ni bonge la dume lenye midevu kama ya Seif Sharrif Hamad.
Hahaha.....Naunga mkono hoja ya BAK watajwe wote, tuone jinsia za Mods zikibadilika