Sina imani na wewe. Isije ikawa we ndo umetufukuzia Husn wetu.
Afu mbona PM zangu za mtongozo umezichunia? Mi ni MBA bana. Yani Married But Available. Usiichezee hii bahati nikaihamishia kwa sweetlady.
...MODS itakuwa vizuri sana mkimruhusu Husninyo ayaweke hadharani majina ya wahusika ili wajulikane kwa umma wa JF na kisha wapewe kifungo cha maisha.
Hus,
Pole sana mdogo wangu,
Kusema kweli...tena ukweli wa moyoni, siku yangu imeharibika ghafla....
Binafsi sijawahi kupata challenge yoyote hapa JF na pia napata PM zisizozid 2 kwa week.....labda kwa sababu ni kibabu cha 1947 au ...??????
Pumzika salama Hus.....
Babu DC!!!
...MODS itakuwa vizuri sana mkimruhusu Husninyo ayaweke hadharani majina ya wahusika ili wajulikane kwa umma wa JF na kisha wapewe kifungo cha maisha.
Lakini modes wanahusika vipi na matendo yanayofanyika nje ya mtandao??
hahaha Kamanda imekutachi naona! Kwani na wewe cv yako
chafu unasumbua dada zetu hapa? Hebu msome vizuri Husninyo
magema yote hayo hajataja mapenzi. Hivi inawezekana hio challenge haijamgusa kweli? Tumtafute kamanda aliemuumiza
tumpe permanent ban!
Hahahahahah lol! amini unavyotaka kuamini. Mie siishi Tanzania kwa miaka chungu nzima sasa. sijawahi hata siku moja kuomba contacts za Husninyo sasa iweje leo mie ndiye niwe nahusika na kumfukuza Husninyo!? Acha hizo bana!!!! MoDS wamruhusu Husninyo aweke majina ya wahusika hadharani uone kama jina langu litakuwemo.
Lakini modes wanahusika vipi na matendo yanayofanyika nje ya mtandao??
CV yangu poa kabisa Mkuu sasa...Ukweli ni lazima uanikwe hadharani.
Afu we BAK mbona umekomaa wanaume wenzio tuadhirike? Mod atakayetoa hiyo ruksa ntambadilisha jinsia. Laaleki!