Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
kuna ajali mbaya imetokea hapa karibu na shule ya pigo chalinze imehusisha magari matatu gari moja limeharibika sana sijafanikia kujua waliokuwemo humo kama wame salimika na na eneo moja vijiji vitatu kabla ya mto wami kuna ajali ya malori mawili moja likiwa limebeba mafuta lakini cha ajabu kabisa baada ya ajali hiyo watu walianza kuchota mfta na hii ilikuwa inafanyika mbele ya polisi zaidi ya watano..watz hatujifunzi kutokana namakosa...