Ugali na mlenda. Maziwa ya mgando katikati ya mlenda Mmmhhhhh yaaaam
teh teh nice,basi ugali usiwe mgumu,uwe mlaini kidogo
AD unakulaje hiyo daaah itabidi unifundishe
Ila tatizo siku hizi wameuacha,hawataki culture bhana,siku hizi hata hawapiki dah
teh teh nilienda maeneo kibao kufanya reseach yangu,nimegundua wamebadilika bhana hata mlenda kuchanganya naDahhh. Siku hizi ndo wamezidisha unga wa shida kusonga .. Kwante is the way to go ..
Labda we unaishi mjini njoo huku Kilima Moja! Hatuachi asili.
teh teh nilienda maeneo kibao kufanya reseach yangu,nimegundua wamebadilika bhana hata mlenda kuchanganya na
maziwa haipo jamani,labda ujipikie then utengeneze mwenyewe,but nimemiss kweli,halafu si unakumbuka msosi
unaumega unavyotaka.
hehehehe mbona mpaka,kwanza yapo original halafu mazito,halafu ukizoea mazingira yale ya ni raha sana,Haha duuuhh we ulienda hapo nama research
yako unaongea Kiingeresa wakadhani umetoka ulaya .. badala ya Kwante wakakupikia ule. Wamajirani zetu .
Karibu kwa bibi yangu ..na maziwa yetu ya mgando ni yale yanasukumwa kwenye kibuuuyu mpaka samli inatoka. Daaaaamn
hehehehe huo msosi wa kutongozea watu
Ugali ulee wa Kwantee .. lakini ukiwa kama ule wa majirani zetu duuuhh. Utamu wote Unapotea..
Afu wewe, mambo yote ugali mgumu na maziwa wa mgando
Utakomaa visigino endelea kusonga tu ..