Chakula cha vunja mbavu.

achen utoto, leten vichekesho vilivyoenda shule, ala!

sisi ni watoto na hatujaenda shule, kwa hiyo usitulazimishe kama unatulipa vile.....tafuta vilivyoenda shule na vya kikubwa kwingine...na ukiona inakukera si uipotezee tu.

Wewe vya kwako vya kikubwa ndo vipi? Ndo nyinyi wabadilisha majina mkitafuta umalaika...mna identity kibao, ukiona umechemka unaanzisha nyingine ili kutafuta umungu mtu, hapa jamvini hakuna hata mmoja asiyekosea au kupungua eneo fulani na ndo uanadamu.

kwanza nachukia sana mnaojifanya wakamiliiiiiifu sana humu, kwamba nyinyi ndo watu waziiiiiima, wengine watoto hawajaenda shule ila nyinyi ndo mmeenda shule....wacha nikustahi kwa muda nikapate kwanza nikirudi utanijiju...utanijiju nakwambia.

Haya nimerudi......wewe mbona nakufahamu vizuri tu, una identity kama kumi humu jamvini na una tabia ya kujishukuru mwenyewe, nimeona sana watu kama wewe humu nikashangaa sana, sijui unatafuta nini, eti The following 10 Users say thank you to D5 for this useful post....tongomawe, shibonambi, kungumwamba, tongonyonyo...ah! wapi kumbe wooote ni D5.

Na hii ndo tabia yenu, ukiona kuna Identity inachipukia, unaanza kuwashwa kwenye dust bin hole.

Sikatai Constructive Criticism...lakini demoralizing criticism kwangu nitakula na wewe sahani moja, na huo mchezo wa kijinga wa multi identities nitauanza na mimi kwa ajili ya kushughulikia mash****ga kama wewe.

Inaonekana umekula supu ya mk**du jioni hii(hili ni tusi)....

Kumbe hivi hapa chini ndo vichekesho vilivyoenda shule...maana D5 kajaa humo..!!!!!!! haya bana..I love this country.

https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/122976-so-simpo-hata-kwa-zero.html

Ndugu yangu mkuu komedi salamu......

Inakuwaje unapoteza muda na nguvu nyingi namna hii kubishana na mtu ambaye kwa hesabu na busara za kawaida inaonyesha naye alikuwa anafanya matani? Sioni chochote cha kukufanya utoke povu namna hii, badala ya kuendelea na mtiririko mzuri wa thread yako.....Usipoteze siku zako za kuishi kwa kubishana na kumtukana mtu ambaye hata humfahamu........na kutukana siku zote si busara wala sifa kwa yeyote waye yule.... vuta pumzi!:bored:
 
sisi ni watoto na hatujaenda shule, kwa hiyo usitulazimishe kama unatulipa vile.....tafuta vilivyoenda shule na vya kikubwa kwingine...na ukiona inakukera si uipotezee tu.

Wewe vya kwako vya kikubwa ndo vipi? Ndo nyinyi wabadilisha majina mkitafuta umalaika...mna identity kibao, ukiona umechemka unaanzisha nyingine ili kutafuta umungu mtu, hapa jamvini hakuna hata mmoja asiyekosea au kupungua eneo fulani na ndo uanadamu.

kwanza nachukia sana mnaojifanya wakamiliiiiiifu sana humu, kwamba nyinyi ndo watu waziiiiiima, wengine watoto hawajaenda shule ila nyinyi ndo mmeenda shule....wacha nikustahi kwa muda nikapate kwanza nikirudi utanijiju...utanijiju nakwambia.

naona D5 ana njaa, mpatie juice ya ulezi na karanga mbichi na maji ya asali, changanya na ile keki ya mlenda ... atatulia
 
Eti vilivyopo hapa ni Pilao na Mlenda, asubuhi hii, basi nipe ninywe hivyo hivyo.
 


Ndugu yangu mkuu komedi salamu......

Inakuwaje unapoteza muda na nguvu nyingi namna hii kubishana na mtu ambaye kwa hesabu na busara za kawaida inaonyesha naye alikuwa anafanya matani? Sioni chochote cha kukufanya utoke povu namna hii, badala ya kuendelea na mtiririko mzuri wa thread yako.....Usipoteze siku zako za kuishi kwa kubishana na kumtukana mtu ambaye hata humfahamu........na kutukana siku zote si busara wala sifa kwa yeyote waye yule.... vuta pumzi!:bored:



Kwa heshima yako kama PM na kwa heshima ya LD aliyekubaliana nawe kwa Senks, ni wazi kwamba D5 ambaye kwangu ni mkubwa kicheo hapa jamvini yuko sahihi.....

Mimi hapa ni mdogo kwenu na kaka kanipiga kwenzi kwa kunionea.... nimemrushia mawe, wajomba mmekuja mnanichapa.

Poa nafuata ushauri wa D5 mkubwa wangu......Naenda shule kwanza na nitasubiri niwe mtu mzima kwanza h'fu ndo tuendelee.
 
wana jf this is not a joke>few month's back nilikua new delhi india nimekula rost ya fenesi changa.
 
Haya nimerudi......wewe mbona nakufahamu vizuri tu, una identity kama kumi humu jamvini na una tabia ya kujishukuru mwenyewe, nimeona sana watu kama wewe humu nikashangaa sana, sijui unatafuta nini, eti The following 10 Users say thank you to D5 for this useful post....tongomawe, shibonambi, kungumwamba, tongonyonyo...ah! wapi kumbe wooote ni D5.

Na hii ndo tabia yenu, ukiona kuna Identity inachipukia, unaanza kuwashwa kwenye dust bin hole.

Sikatai Constructive Criticism...lakini demoralizing criticism kwangu nitakula na wewe sahani moja, na huo mchezo wa kijinga wa multi identities nitauanza na mimi kwa ajili ya kushughulikia mash****ga kama wewe.

Inaonekana umekula supu ya mk**du jioni hii(hili ni tusi)....

basi mkuu msamehe,naimani hatarudia tena labda awe kichwa maji
 
mimi hupenda kula mishkaki ya konokono na chura pia hunywa cocktail juisi ya bamia na nyanyachungu!
 
Back
Top Bottom