Jamani mi nikicheka naongeza dakika zangu za kuishi, naomba unitajie chakula chako cha vunja mbavu nifurahi mie, cheki yako ipo usijali.
Mfano, mie napendelea mishkaki ya uji.
hahahaha...sasa hii tunaiweka kwenye buffer la dinner ya leo.....bila kusahau sambusa za pipi kifua.
Mh! kumbe mmekusudiya mahanjumati kama hayo........
Basi mi nikipata koni ya kukaanga ikatiwa philiphili mdawiya, philiphili mdawati, mabili compoza mmmhhhhhhhhhhh apo upate na piza ya kongoro yani utajiramba sanaaaa
Bufee ya leo itakuwa murua...yule dada mtengeneza sambusa za pipi kifua amesema atatutengenezea keki ya mlenda kwa ajili ya desert.
achen utoto, leten vichekesho vilivyoenda shule, ala!
achen utoto, leten vichekesho vilivyoenda shule, ala!
Haya nimerudi......wewe mbona nakufahamu vizuri tu, una identity kama kumi humu jamvini na una tabia ya kujishukuru mwenyewe, nimeona sana watu kama wewe humu nikashangaa sana, sijui unatafuta nini, eti The following 10 Users say thank you to D5 for this useful post....tongomawe, shibonambi, kungumwamba, tongonyonyo...ah! wapi kumbe wooote ni D5.
Na hii ndo tabia yenu, ukiona kuna Identity inachipukia, unaanza kuwashwa kwenye dust bin hole.
Sikatai Constructive Criticism...lakini demoralizing criticism kwangu nitakula na wewe sahani moja, na huo mchezo wa kijinga wa multi identities nitauanza na mimi kwa ajili ya kushughulikia mash****ga kama wewe.
Inaonekana umekula supu ya mk**du jioni hii(hili ni tusi)....
achen utoto, leten vichekesho vilivyoenda shule, ala!