Chakula cha usiku: Wahanga sasa ni wanawake!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,393
Zamani ilikuwa ni wanaume waliokuwa wakilalamika, kwamba wake zao hawataki kuwapa chakula cha usiku kama wanavyotaka. Lakini baadae yaani siku hizi ni zamu ya wanawake kulalamika.

Katika nyumba nyingi siku hizi hasa mijini wanawake ndio wanolalamika zaidi kukosa chakula cha usiku kama wanavyotaka kutoka kwa waume zao.

Kwa nini hali hii?

Ukweli ni kwamba maisha yamebadilika sana na kila mtu anajitahidi sana kutaka kuhahakisha kwamba anafanya kazi hadi anaishiwa nguvu kabisa, akili na mwili vinachoka. Wanaume wengi wanaolalamikiwa na wake zao kuhusu kupata uhaba wa chakula cha usiku ni wale wanaofanya kazi sana.

Ningependa kuwashauri wanaume kwamba wakati wanafanya kazi zao mchana wakumbuke kwamba kuna wake zao wapendwa ambao wanawasubiri jioni kuzungumza nao na zaidi ya hapo. Wakumbuke hawajaoa kazi bali wameoa wake. Pamoja na kwamba ni muhimu kwao kufanya kazi, lakini wakumbuke kwamba kazi hazina mwisho.

Kuna jambo ambalo wanaume na hata wanawake hawalijui vizuri, hili ni lile linalohusu mazoezi. Mtu anapofanya mazoezi anawezesha damu kuzunguka na kufikia sehemu zote za mwili kwa kiwango kinachotakiwa. Kukaa ofisini kutwa na kurudi nyumbani na kukaa kwenye kochi na kuangalia TV siyo aina ya maisha inayoshauriwa tuishi. Mwili unapochangamka kwa damu kufika kila mahali kwa kiwango kinachotakiwa hamu ya kutoa chakula cha usiku na kukipokea huwa kubwa.

Lakini mbaya zaidi ni kwa wanawake wenyewe pia. Kuna wanawake ambao bado wanaishi kwa miiko ya karne moja nyuma. Hawa wanangoja wanaume zao wawachokoze, wasipofanya hivyo, basi hata mwaka watakaa wakilalamika kwamba hawapati chakula cha usiku. Tukumbuke kwamba hata wanaume nao ni binadamu pia, huhitaji wakati mwingine kushtuliwa, kwani wakishtua wao tu kila siku, kuna wakati hukinai.
 
Zamani ilikuwa ni wanaume waliokuwa wakilalamika, kwamba wake zao hawataki kuwapa chakula cha usiku kama wanavyotaka. Lakini baadae yaani siku hizi ni zamu ya wanawake kulalamika.

Katika nyumba nyingi siku hizi hasa mijini wanawake ndio wanolalamika zaidi kukosa chakula cha usiku kama wanavyotaka kutoka kwa waume zao.

Kwa nini hali hii?

Ukweli ni kwamba maisha yamebadilika sana na kila mtu anajitahidi sana kutaka kuhahakisha kwamba anafanya kazi hadi anaishiwa nguvu kabisa, akili na mwili vinachoka. Wanaume wengi wanaolalamikiwa na wake zao kuhusu kupata uhaba wa chakula cha usiku ni wale wanaofanya kazi sana.

Ningependa kuwashauri wanaume kwamba wakati wanafanya kazi zao mchana wakumbuke kwamba kuna wake zao wapendwa ambao wanawasubiri jioni kuzungumza nao na zaidi ya hapo. Wakumbuke hawajaoa kazi bali wameoa wake. Pamoja na kwamba ni muhimu kwao kufanya kazi, lakini wakumbuke kwamba kazi hazina mwisho.

Kuna jambo ambalo wanaume na hata wanawake hawalijui vizuri, hili ni lile linalohusu mazoezi. Mtu anapofanya mazoezi anawezesha damu kuzunguka na kufikia sehemu zote za mwili kwa kiwango kinachotakiwa. Kukaa ofisini kutwa na kurudi nyumbani na kukaa kwenye kochi na kuangalia TV siyo aina ya maisha inayoshauriwa tuishi. Mwili unapochangamka kwa damu kufika kila mahali kwa kiwango kinachotakiwa hamu ya kutoa chakula cha usiku na kukipokea huwa kubwa.

Lakini mbaya zaidi ni kwa wanawake wenyewe pia. Kuna wanawake ambao bado wanaishi kwa miiko ya karne moja nyuma. Hawa wanangoja wanaume zao wawachokoze, wasipofanya hivyo, basi hata mwaka watakaa wakilalamika kwamba hawapati chakula cha usiku. Tukumbuke kwamba hata wanaume nao ni binadamu pia, huhitaji wakati mwingine kushtuliwa, kwani wakishtua wao tu kila siku, kuna wakati hukinai.

Mkuu mbona hujaongelea wale wanaopitia Ohio na maeneo mengine baada ya kazi kupata kile kinachoitwa "kazi na dawa". Kwani hao akina dada (Ma Changu) wanapata huduma kutoka wapi kama si kwa baadhi ya hao wanaume wanaofanya kazi sana? Inawezekana kuchoka ina maana nyingine, "nimeshiba".
 
Kwa kadri unavyotumia akili kusaka pesa/kufanya kazi ndivyo unavyoshiba mapema na kadri unavyotumia nguvu munual ndivyo unavyozidisha hamu ya kula.
Watumiao nguvu/mazoezi ndio walao sana, hivyo hao walalamikao ni wake wa watumiaji akili.
Kadri maisha yanavyokuwa mazuri ndivyo upishi unavyotumia viungo kidogo na chakula hakinogi sana. Ukulinganisha madiko diko ya Kempiski na mama ntilie wa feri, utakuta feri sio mchezo. Hivyo wazee wengi hupenda kuanzia feri kupata ladha ya kuku wa kienyeji ndipo aende home kala dinner kama za Kempinski.

Hata hao wahanga wanawake, sio wote, nao hupitia nazi gengeni, nyanya sokoni, fundi simu, fundi bomba, fundi umeme, na hata madereva kusaidia kumpashia mzee maana kila akirudi kachoka.
 
Hata hao wahanga wanawake, sio wote, nao hupitia nazi gengeni, nyanya sokoni, fundi simu, fundi bomba, fundi umeme, na hata madereva kusaidia kumpashia mzee maana kila akirudi kachoka.

Haha!hahahahaaa!.....Pasco, usinikumbushe kule uswazi vingweta...tiiihiiiitihiii! hao wahanga wengine hupashwa kweli magengeni......mnakumbuka ule wimbo wa ''KISA CHA MPEMBA''

Mtambuzi....thread yako nzuri, ila ungeiweka kule kny mapenzi, ingenoga zaidi!
 
Last edited:
Mbaya zaidi kuna wale wanaowaacha wake zao kule Moshi mpaka warudi huko Krismas, kisingizio? wanatafuta pesa. Hii ni balaa
 
Is it the right place 4 this thread wadau?

Nafikiri hapa si mahali sahihi kwani inabana uhuru wa kutoa vitu kama vilivyo. kuleeee kwenyeweee itakuwa ipo mahala pake, hatutasikia mambo ya mamantilie wala mamalishe, ni nyumba ndogo n.k vitachukua mkondo.
 
Hii kitu ilitakiwa iwe kule kwenye mahusiano na mapenzi.
Sijui mods siku mnalala au majukumu mengi wazee?
Lakini najua mna kazi kweli kweli poleni hii thread mtaipeleka mahala pake.
 
Hii kitu ilitakiwa iwe kule kwenye mahusiano na mapenzi.
Sijui mods siku mnalala au majukumu mengi wazee?
Lakini najua mna kazi kweli kweli poleni hii thread mtaipeleka mahala pake.
 
Mwambie, usione haya

Zamani ilikuwa ni wanaume waliokuwa wakilalamika, kwamba wake zao hawataki kuwapa chakula cha usiku kama wanavyotaka. Lakini baadae yaani siku hizi ni zamu ya wanawake kulalamika.


Katika nyumba nyingi siku hizi hasa mijini wanawake ndio wanolalamika zaidi kukosa chakula cha usiku kama wanavyotaka kutoka kwa waume zao.

Kwa nini hali hii?

Ukweli ni kwamba maisha yamebadilika sana na kila mtu anajitahidi sana kutaka kuhahakisha kwamba anafanya kazi hadi anaishiwa nguvu kabisa, akili na mwili vinachoka. Wanaume wengi wanaolalamikiwa na wake zao kuhusu kupata uhaba wa chakula cha usiku ni wale wanaofanya kazi sana.

Ningependa kuwashauri wanaume kwamba wakati wanafanya kazi zao mchana wakumbuke kwamba kuna wake zao wapendwa ambao wanawasubiri jioni kuzungumza nao na zaidi ya hapo. Wakumbuke hawajaoa kazi bali wameoa wake. Pamoja na kwamba ni muhimu kwao kufanya kazi, lakini wakumbuke kwamba kazi hazina mwisho.

Kuna jambo ambalo wanaume na hata wanawake hawalijui vizuri, hili ni lile linalohusu mazoezi. Mtu anapofanya mazoezi anawezesha damu kuzunguka na kufikia sehemu zote za mwili kwa kiwango kinachotakiwa. Kukaa ofisini kutwa na kurudi nyumbani na kukaa kwenye kochi na kuangalia TV siyo aina ya maisha inayoshauriwa tuishi. Mwili unapochangamka kwa damu kufika kila mahali kwa kiwango kinachotakiwa hamu ya kutoa chakula cha usiku na kukipokea huwa kubwa.

Lakini mbaya zaidi ni kwa wanawake wenyewe pia. Kuna wanawake ambao bado wanaishi kwa miiko ya karne moja nyuma. Hawa wanangoja wanaume zao wawachokoze, wasipofanya hivyo, basi hata mwaka watakaa wakilalamika kwamba hawapati chakula cha usiku. Tukumbuke kwamba hata wanaume nao ni binadamu pia, huhitaji wakati mwingine kushtuliwa, kwani wakishtua wao tu kila siku, kuna wakati hukinai





wakuu hivi Haya ni ya kweli!








 
Ulijuaje?? Ni kweli kabisa kuna wanawake kila siku ukitaka kula mzigo lazima ulianzishe wewe na siku ukikaa kimya nae anakaa kimya usipomuuliza hata mwezi anakaa utasikia wewe mwenyewe hutaki as if ni shida yako wewe tu mwanaume sijui wakoje??
 
Ulijuaje?? Ni kweli kabisa kuna wanawake kila siku ukitaka kula mzigo lazima ulianzishe wewe na siku ukikaa kimya nae anakaa kimya usipomuuliza hata mwezi anakaa utasikia wewe mwenyewe hutaki as if ni shida yako wewe tu mwanaume sijui wakoje??


aaah wanakera asee!
 
mke wangu hajalalamika bado
ingawa niko bize ila naprovide bedtime menu bila kumiss the point.

ila sometimes nahisi uchovu wa ajabu sana lakini najimaliza tu kwenye kujipinda bila wasiwasi.
 
Ulijuaje?? Ni kweli kabisa kuna wanawake kila siku ukitaka kula mzigo lazima ulianzishe wewe na siku ukikaa kimya nae anakaa kimya usipomuuliza hata mwezi anakaa utasikia wewe mwenyewe hutaki as if ni shida yako wewe tu mwanaume sijui wakoje??
nice thread chaku hongera,

ila nasemaga kila siku kuna umuhimu mwanamke akawa malaya(ashakum si matusi) kwa mumewe, tukubali tusikubali saa nyingine waume zetu wanaenda kutafuta nyumba ndogo sababu wamechoka kila siku style ndo hiyohiyo mahala ndo hapohapo, kuanzwa ndo mpaka uanzwe wewe, akienda nyumba ndogo anadandiwa toka mlangoni shughuli inashia bafuni. unategemea akirudi atakuwa na nguvu ya kukupapasapapasa weee mwenye shombo la chakula cha jioni na watoto? tunawalaumu wanaume lakini na sisi wanawake sometimes tumezidi jamaniii hata ukioga jioni hujipaki manukato ukatandika chumba vizuri kuondoa vumbi la kutwa nzima, unamsubiri mumeo umevaa kagauni ka uchokozi , akija mumeo lazima hata kama amechoka vipi lazima atajipinda tu kukupa raha zako, lakini weee ndo kwanza anakukuta na tenge lako au kanga mama au hiyo night dress umeivaa siku tatu itaacha kunuka jasho? wakati yeye mwenyewe anajasho lake la kutoka kazini akukute na wewe huna tofauti hiyo appetite ataiotoa wapi?

tabia ya mwanaume kila siku akuanze yeye anaweza dhani kwamba wewe humtamani yeye kama mumeo ila ni yeye tu mwenye shida na wee, which is not true, kuna wanawake wengine hata kumwambia mumewe nakupenda hawezi anasubiri mume aanze na yeye aseme' nakupenda pia' mwanamke unapojisikia kwamba nataka shughuli basi ushughulike bibiee. mrukie mumeo expolre his body en yours too, halafu uone kwamba haaamki, hapo sasa ndo upate pa kusemea.

KABLA HATUJAWANYOOSHEA WANAUME VIDOLE TUJIANGALIE NA SISI WENYEWE JE? TUNAWATENDEA HAKI?
 
ila nasemaga kila siku kuna umuhimu mwanamke akawa malaya(ashakum si matusi) kwa mumewe, tukubali tusikubali saa nyingine waume zetu wanaenda kutafuta nyumba ndogo sababu wamechoka kila siku style ndo hiyohiyo mahala ndo hapohapo, kuanzwa ndo mpaka uanzwe wewe, akienda nyumba ndogo anadandiwa toka mlangoni shughuli inashia bafuni.

Umenifurahisha sana bibie, uliyoyasema ni kweli tupu. Nimeyaona sana haya ya wanawake kwenye ndoa kujisahau. Halafu njemba ikihamia nyumba ndogo wanaanza kulalama. Halafu mwanamke huyu huyu ambaye kwa mume wake hajitengenezi kama akipata nyumba ndogo yake basi vipodozi huwa kwa sana tu ili kuivutia zaidi nyumba ndogo yake. Sasa sijui hili ni aje la mdada kuweza 'kutafuta muda' wa kuhangaika na vipodozi kwa njemba wa nje lakini wakati huo huo nyumbani kwa mume wake amejiachia yuko nyukunyuku!
 
Habari yenyewe hii hapa:


couple-man-sleeping.jpg



Zamani ilikuwa ni wanaume waliokuwa wakilalamika, kwamba wake zao hawataki kuwapa chakula cha usiku kama wanavyotaka. Lakini baadae yaani siku hizi ni zamu ya wanawake kulalamika.

Katika nyumba nyingi siku hizi hasa mijini wanawake ndio wanolalamika zaidi kukosa chakula cha usiku kama wanavyotaka kutoka kwa waume zao.

Kwa nini hali hii?

Ukweli ni kwamba maisha yamebadilika sana na kila mtu anajitahidi sana kutaka kuhahakisha kwamba anafanya kazi hadi anaishiwa nguvu kabisa, akili na mwili vinachoka. Wanaume wengi wanaolalamikiwa na wake zao kuhusu kupata uhaba wa chakula cha usiku ni wale wanaofanya kazi sana.

Ningependa kuwashauri wanaume kwamba wakati wanafanya kazi zao mchana wakumbuke kwamba kuna wake zao wapendwa ambao wanawasubiri jioni kuzungumza nao na zaidi ya hapo. Wakumbuke hawajaoa kazi bali wameoa wake. Pamoja na kwamba ni muhimu kwao kufanya kazi, lakini wakumbuke kwamba kazi hazina mwisho.

Kuna jambo ambalo wanaume na hata wanawake hawalijui vizuri, hili ni lile linalohusu mazoezi. Mtu anapofanya mazoezi anawezesha damu kuzunguka na kufikia sehemu zote za mwili kwa kiwango kinachotakiwa. Kukaa ofisini kutwa na kurudi nyumbani na kukaa kwenye kochi na kuangalia TV siyo aina ya maisha inayoshauriwa tuishi. Mwili unapochangamka kwa damu kufika kila mahali kwa kiwango kinachotakiwa hamu ya kutoa chakula cha usiku na kukipokea huwa kubwa.

Lakini mbaya zaidi ni kwa wanawake wenyewe pia. Kuna wanawake ambao bado wanaishi kwa miiko ya karne moja nyuma. Hawa wanangoja wanaume zao wawachokoze, wasipofanya hivyo, basi hata mwaka watakaa wakilalamika kwamba hawapati chakula cha usiku. Tukumbuke kwamba hata wanaume nao ni binadamu pia, huhitaji wakati mwingine kushtuliwa, kwani wakishtua wao tu kila siku, kuna wakati hukinai.
 
Back
Top Bottom