Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,724
- 9,188
halafu wewe, mbona ulinidanganya?ukaingia mitini mazima?
tupo pamoja bacha wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu wewe, mbona ulinidanganya?ukaingia mitini mazima?
tupo pamoja bacha wangu.
Jana nilikula makaroni, nilishiba kweli.
hapa kuna mjadala gani tena wakuu.....
chakula? kama hakitoshi mbona kina baba wanagawa kwa wengi? unakuta mwanaume mmoja anagawia wanawake wanne au zaidi.
Asubuhi ya saa ngapi? Tunaamka "alfajiri" ya saa tisa na "asubuhi" ya saa 12 inatukuta ndani ya "Azania Front" tukiimba mapambio - see?
Maoni yako yanafanana na maoni yangu niliyochangia katika ile forum, mchango wangu ulikuwa hivi:
Mimi nafikiri pia mazingira tunayoishi sasa hivi yanachangia wanaume kutowapa wake zao chakula cha usiku vile ipasavyo. Zamani ilikuwa ni nadra sana kukuta mwanamke akionyesha baadhi ya maungo yake (sehemu za mwili wake). Lakini sasa hivi (wakati huu tulionao) imekuwa ni mtindo kwa wanawake kuonyesha sehemu za miili yao, wenyewe wanasema wanakwenda na wakati. Hivyo mchana kutwa mwanamume
anashinda akitazama nyuchi (sehemu za wanawake zinazoachwa wazi), iwe ofisin au njiani. Hali hii inamfanya mwanamume huyu kupoteza hamu ya kutoa chakula cha usiku kwa mkewe pindi arudipo nyumbani kwani hamu inakuwa imekwisha kwa kutazama maungo ya wanawake huko njiani. Mwanamume asipozoea kuonaona maungo ya mwanamke anakuwa na hamu ya kutoa chakula cha usiku kwa mkewe.
dah..nilipata ushauri wa hapo juu wa kufanya mazoezi mara kwa mara.....jamani kweli yana saidia sana kwa ujumla!!!!!!nilikuwa naishia kwenye kimoja then sirudii tena...sasa hivi nimerudi kwenye bao nne....tena intervals fupifupi.....ila tatizo na kuwa na nguvu zaidi mechi za nje kuliko za ndani, but hapa nafikiri ni tatizo la kisaikolojia zaidi...