Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Utafiti umefanywa na kudhihirisha kwamba chakula cha GM (Genetically Modified) vina madhara makubwa kwa wanadamu. Ikumbukwe kwamba hapa Tanzania viongozi wamekuwa wakitetea GM foods ili kuongeza uzalishaji, na hata hiki chakula kukubalika kuingizwa nchini!
Angalia picha ya panya waliolishwa GM food
Source: http://www.naturalnews.com/037249_GMO_study_cancer_tumors_organ_damage.html
Angalia picha ya panya waliolishwa GM food
Source: http://www.naturalnews.com/037249_GMO_study_cancer_tumors_organ_damage.html