MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
mkuu unanikumbusha mbali sana
mkuu umeitoa wapi hii inanikumbusha mbali sana
Those old days!
Christian Gregory (Chakubanga) alikuwa mbunifu sana.
Kuna yeyote mwenye taarifa kwamba kwa saa jamaa yuko wapi na anafanya nini?