SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,967
- 2,631
- Thread starter
- #41
Mcheki kwenye thread hiiAsante sana nitampata vipi kwa sasa
Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)
Mcheki kwenye thread hiiAsante sana nitampata vipi kwa sasa
Yeah mkuu nikibonyeza hiyo try inafika 29% na hii mitandao yetu duu itakuwa noma sana hadi nifunge safariMkuu uki bofya hapo try to root ndio inafika asilimia 29 then inagoma?
Ikileta huo ujumbe chagua hapo tyr to root then tulia sehem yenye net fresh.
Amekosea tu huyoMkuu hiyo blackmarket iwe playstore kweli! Au umemaanisha google.
Au ungeweka link inapo patikana hiyo backmarket ili kusaidia wanajukwaa.
Mkuu hiyo blackmarket iwe playstore kweli! Au umemaanisha google.
Au ungeweka link inapo patikana hiyo backmarket ili kusaidia wanajukwaa.
Yeah mnisamehe nilikosea,Blackmart haipo play store inapatikana Google,samahanini kwa usumbufu wakuu.Mkuu hiyo blackmarket iwe playstore kweli! Au umemaanisha google.
Au ungeweka link inapo patikana hiyo backmarket ili kusaidia wanajukwaa.
Yeah mnisamehe nilikosea,Blackmart haipo play store inapatikana Google,samahanini kwa usumbufu wakuu.
Mkuu tusaidie na hayo maelekezo mengine ku remove google adds,licence verification na mautundu mengine hapo.Mkuu njia zipo lkn hazina mafanikio...
Mimi nilisha hangaika sana hadi kufikia ku root simu.
Poweramp ni nini?
Na hiyo Adway naipata wapi play store au Google? Na vipi kama naitaka app ya kulipia play store kama badoo na zingine nafanyaje maana naona hizo zinakulazimu uwe na card ya malipo tofauti na hii poweramp unadownload trial then unachakachua pia kuhusu licence verification kwenye lucky partcher? AsantehKuhusu Adds
Kama simu ipo rooted basi pakuwa app inaitwa AdAway
Kisha Enable hutoona adds (matangazo) kwenye app zako.
App za kulipia zipo za aina mbili kuna zenye malipo ya ndani ya app na kuna zinazouzwa app kama app.Na hiyo Adway naipata wapi play store au Google? Na vipi kama naitaka app ya kulipia play store kama badoo na zingine nafanyaje maana naona hizo zinakulazimu uwe na card ya malipo tofauti na hii poweramp unadownload trial then unachakachua pia kuhusu licence verification kwenye lucky partcher? Asanteh
Nashukuru ChiefHakikisha internet ipo vzr mkuu.
Angalia kwanza kwenye tab yako kama ipo ambayo si installed uifute na u clear cache. Kisha jaribu tena.Naomba msaada juu ya hii app tatizo lilianza pale nilipokua nahitaji nipate pro version kwa kutumia Lucky putcher sasa inakataa kabisa kuji install kwenye tablet yangu kama kuna mwenye ujuzi na hili anisaidie kwani antivirus ya avg uwa naikubali sana