Tusiokunywa chai huwa tunakosa mengi. Mimi huwa sinywi chai nikiamka mostly natafuta maziwa ya mgando(Mtindi) otherwise ni Pasi ndefu hadi mchana. AshaDii, Vp kuhusu mapishi ya Biriani, say something plz, au inahitaji Thread yake?
Dada AshaDii,sasa hii chai unayoweka ni yoyote au?Mimi nataka nikutumie chai nyeusi(black tea) nzuri kuliko zote Tanzania,niambie niikutumie je 250gm. Leo ngoja nikawapikie wanangu hii menu ninywe nao.Kuna watu inabidi mzidi kuishi tu!Sala zetu ziwafikie!
Unaongea tu utekelezaji zero!