Chai Maharage

CAMARADERIE

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
4,419
1,920
Hii kitu ilisumbua sana enzi zake

achaimaharage.jpg
 
sure, halafu ilikuwa watu mnakaa kwa kutazamana. Ila kwenye mabonde sasa, tehe
 
Zanzibari bado zipo kibao, abiria mwaenda huku mwatizamana atii!
 
<SPAN style="FONT-FAMILY: garamond"><FONT size=4>Zanzibari bado zipo kibao, abiria mwaenda huku mwatizamana atii!</FONT></SPAN>
 
Wale wa kusimama ilikuw ni balaa zaidi......watu walikuwa wanapata mifadhaiko sana
 
Wale wa kusimama ilikuw ni balaa zaidi......watu walikuwa wanapata mifadhaiko sana
 
Back
Top Bottom