Nimeongea na Tito juu ya ukumbi wa Lunch Time Hotel, na Tito kampigia mhusika na tumepewa ukumbi ule mkubwa ( Kanyagio anaukumbuka) tuliofanyia chai day ya pili. Amesema kesho anakwenda kulipia advance ya Tsh laki moja ili ukamatwe kabisa. Ukumbi ule ni laki mbili. Kwa sasa anasubiri majibu yetu ili kesho akalipie ukumbi ule. Kama nilivyosema,pana parking kiasi ya kutosha, ulinzi upo, kiyoyozi kipo na choo ndani kwa ndani ukumbini, nyama choma ipo kwa watumiaji, ni patulivu hapa kelele. Ni opposite na Mabibo Hostel Mandela road.
Nasubiri jibu wakuu.
Nasubiri jibu wakuu.