sterling
Senior Member
- Aug 6, 2011
- 159
- 29
Wanaweza bila shaka!! Ona nini M4C wanafanya saa hizi. Miaka 3 iliyosalia inatosha kabisa. Mbona kampeni wanafanya kwa miezi michache tuu lakini wanapita KARIBU kila kona ya nchi. Ni kuchukua tu muda uliobaki GAWA kwa maeneo yote yanayotakiwa kufikiwa!
Kwa taarifa yako huko Arumeru Mashariki ambako CHADEMA ilishinda kwa kishindo ni katika vijiji vya kutisha ambako awali walikuwa hawajui chochote zaidi ya CCM, lakini ccm walishindwa vibaya pamoja na pesa zote walizotumia (nadhani unakumbuka kiasi walichotumia), pia ukizingatia CCM kilipeleka nguvu karibu yote kule akiwapo rais mtaafu Mkapa. Na aliyekuwa anagombea alikuwa mkwe wa huyo Lowassa!
My friend watu wa vijijini sasa wameamka!
si kwamba ninakupinga ila ninajaribu kufikiri kwa upana wake maana kama M4C itashindwa kuwafikia wote basi inaweza ikawa shughuli lakini zaidi nilikuwa arumeru na ninaishi arusha mjini