CCM isiyo na Udini wala ukanda hii hapa:Mawaziri wakuu 10 tangu uhuru 8 kati yao wakristo, J.K. Nyerere, Joseph Sinde Warioba, Cleopa Msuya, Fredrick Sumaye, Samwel John Malecela, Edward Lowassa, na Mizengo Kayanza Peter Pinda na WAISLAMU wawili tu Salim Ahmed Salimu na Rashid Mfaume Kawawa (Hii si bahati Mbaya). CCM NI CHAMA CHA KIDINI!