Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,274
- 9,910
Wanabodi kama tujuavyo mwishoni mwa mwezi huu 28-10-2012 , utakuwa na uchaguzi wa madiwani katika kata zipatazo 29, kwa wale wenye orodha ya kata ambazo uchazi utafanyika waweke hapa tuweze kufanya tadhimini ya kata hizo na tathimini ya ushindi wa chama chetu CDM.