jonaleemanson
Member
- Sep 21, 2010
- 73
- 70
tukiwa bado tupo kwenye nngwe nyingine ya chaguzi za nafasi mbalimbali ndani ya chama cha mapinduzi tunashuhudia bado makundi ni janga na labda chanzo cha mkanganyiko unaokiwehusha chama hichi tawala.mbaya zaidi tunashuhudia makundi makubwa mawili yanayojipambambanua "wapinga ufisadi" na wengine kuwa mafisadi.chama lazima kifikirie kwa mapana na kufanya maamuzi yatakayorudisha imani kwa watanzania na kuhakikisha viongozi watakaopewa nafasi hizo ni wale wasio wabinafsi, mafisadi na wenye uzalendo na nchi yao.