Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
ila hapo ndipo mnapokosea, hadi kitandani kweli wewe umekazana na jf tu?.. inabidi mpeane muda wenu wa faragha maana sehemu ile ndio mnapoweza ongea hata mipango mingine ya maisha, mie nikiingia jf kitandani ujue niko mwenyewe na hajarudi au amesafiri, akiwepo narushia huko laptop na simu nazima, naacha ya home tu