mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Ni kauli ya mpenzi wangu toka juzi hatuna story anasubiri jibu, nichague kuwa na yeye au jamii forums.....nakiri kuwa toka nimejiunga na JF ni mimi na simu,..simu na mimi, nikiamka jf, nikienda toilet jf, nikiwa na kazi zangu pia jf nipo nayo, nikilala jf pembeni, yaani sitaki kupitwa na kitu humu jf...sasa bibie kaseemaa wee mwishowe kachoka na kasusa kushiriki chochote na mimi mpaka nimpe jibu eti either nibaki na yeye au niendelee na jf....nifanyeje wanajamvi? Kiukweli nampenda sana lakini at this point kuiacha jamii forums ni ngumu pia...