Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Nimekuwa nikisikiliza porojo za clouds fm na mawaziri /wabunge na hata rais walipopelekewa ujumbe warekodiwe chagua chagua chagua ......u dk,,chagua 330,000 za wabunge kuna mmoja amenikosha si mwingine ni kijana pfunky yeye akadai chagua kufanyakazi kwa bidii achana kutegemea nguvu za giza
hii ni pamoja
na uchawi
waganga
na laana zote za shetani
big up pfunky ila ungenipa mie nichague
ningesema chagua kuacha majaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........................upate hekima nyingi duniani
hii ni pamoja
na uchawi
waganga
na laana zote za shetani
big up pfunky ila ungenipa mie nichague
ningesema chagua kuacha majaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........................upate hekima nyingi duniani