tunahitaji MABADILIKO mazuri sasa tumechokaWatu wameng'ang'ana na ukale tu, mpeni huyu bwana!
tunahitaji MABADILIKO mazuri sasa tumechoka
Queenkami Asante sana na Endelea kuhamasisha Ndugu Jamaa na Marafiki juu ya Umuhimu wa Mabadilko, Peleka Ujumbe wa Mabadiliko kwa kila mtu aliye kwenye phone Book yako
kwa pamoja tunaweza.nawe usisahau kufanya hivyo.