Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
TUKO HIVYO
Hatuoni
Hatusikii
Tunadanganyika kirahisi
Tunafuata mkumbo
BAADAE TUNALALAMIKA
Chagua CCM
Ofisi zetu
v
shule zetu
|
v
Darasani kwa watoto wetu
|
v
Huko vijijini-Dispensary
|
v
Ubalozi wa Tanzania Washington
Ofisi zetu za Bunge
|
v
|
v
Kuna cha kuongeza?
Sasa tucheze na hesabu 6,900,000/= kwa mbunge mmoja,zidisha mara miezi 12 then zidisha kwa miaka 5 = 414,000,000/= jumlisha 50,000,000/= anayopewa mara baada ya kumaliza miaka 5 = 464,000,000/= kwa mbunge mmoja.
464,000,000/= siko tayari kuzidisha fedha hii mara wabunge wote kwa miaka 5,calculator yangu itachanganyikiwa alafu niingie gharama ya kununua nyingine.
Hatuoni
Hatusikii
Tunadanganyika kirahisi
Tunafuata mkumbo
BAADAE TUNALALAMIKA
Chagua CCM
Ofisi zetu
MAKAZI YETU
v
shule zetu
|
v
Darasani kwa watoto wetu
|
v
Huko vijijini-Dispensary
|
v
WAO WAKICHAGULIWA....
Ubalozi wa Tanzania Washington
Ofisi zetu za Bunge
|
v
|
v
Kuna cha kuongeza?
Sasa tucheze na hesabu 6,900,000/= kwa mbunge mmoja,zidisha mara miezi 12 then zidisha kwa miaka 5 = 414,000,000/= jumlisha 50,000,000/= anayopewa mara baada ya kumaliza miaka 5 = 464,000,000/= kwa mbunge mmoja.
464,000,000/= siko tayari kuzidisha fedha hii mara wabunge wote kwa miaka 5,calculator yangu itachanganyikiwa alafu niingie gharama ya kununua nyingine.