Elections 2010 CHADEMA's Free Education Promise not a Hoax, a long awaited Response

If you can't do it others can...

Stay aside and see how it's done.

Tatizo is not so much that it can't be done as is the economic sense it will make even if it will be done.

Tunataka system yenye utmost utility, hatutaki blanket welfarism.
 
Unaintroduce subject halafu unasubiria mwingine atoe ufafanuzi?

Nimefafanua vizuri, kwa mifano, jinsi gani utajiri huu wa natural resources usivyo liquid na usivyoweza kutupatia mchele dukani. Ufafanuzi gani zaidi unataka ?
 
Tatizo is not so much that it can't be done as is the economic sense it will make even if it will be done.

Tunataka system yenye utmost utility, hatutaki blanket welfarism.

Wewe ushahukumu hata kabla haijafanywa....hujui kwa uhakika kuwa it won't make economic sense. You are just making an ass of 'u' n 'me'
 
Watu gani hao? Unaweza kuwataja au unafanya vast generalization tu? Mimi nimepinga manunuzi ya jet na rada na mengi yanayofanana na hayo, na napinga elimu bure kwa wote. Sasa nisingependa kuwekwa kundi moja na watu hao ambao hawana majina.

Elimu bure kwa kila mtu inawezekana tatizo ni utashi tu ndio haupo!
Hii free education ni kwa wote, matajiri na maskini, matajiri tutawapata kwenye kodi!
 
anayesema haiwezekani siyo kosa lake, ni uwezo wake wa ku'reason' ndio umefikia hapo sawa na ccm ilipofikia!
 
Kiranga,

Hao wenye uwezo unaotaka walipie ni wangapi TZ? At least in rough percentage estimation?
 
Wewe ushahukumu hata kabla haijafanywa....hujui kwa uhakika kuwa it won't make economic sense. You are just making an ass of 'u' n 'me'

Kumruhusu anayeweza kulipia asilipie katika nchi iliyo cash strapped kama Tanzania hakuwezi ku make economic sense hata siku moja.

Mnafikiri mna promote elimu sawa kwa wote kumbe mnapromote more rural-urban inequity pamoja na kuwapa advantage zaidi wanaojiweza at the expense of wasiojiweza.
 
Mnafikiri mna promote elimu sawa kwa wote kumbe mnapromote more rural-urban inequity pamoja na kuwapa advantage zaidi wanaojiweza at the expense of wasiojiweza.

Hapana. Manufaa watapata wasiojiweza at the expense ya wanaojiweza ambao ndiyo walipa kodi kubwa. Yaani wao walipe kodi kubwa halafu wasinufaike hata kidogo? That don't make no sense to me.
 
Nimefafanua vizuri, kwa mifano, jinsi gani utajiri huu wa natural resources usivyo liquid na usivyoweza kutupatia mchele dukani. Ufafanuzi gani zaidi unataka ?

The funny thing is NOBODY asked 4 ufafanuzi..hiyo ya kuwa sijui liquid nilishaongela na obviously u chose not to understand...some elements of bigotry and lack of comprehension..this is what i said.

The country is not poor..tunao tu vingunge wafuajaji wenye mawazo finyu ambao wamshindwa kukonvert rasimali kwenda katika terms zingine za valuables ambazo zingeweza kufanya mambo mengine. Lakini in terms of utajiri ktk larger picture sisi ni matajiri sana tuuu.

Suala hapa sio rasilimali hatuna ili tuwe matajiri, na kuweza kugharamia social services but rather what should be done ku-convert all the abundant resources into meaningful and vibrant social welfare.
 
Kiranga,

Hao wenye uwezo unaotaka walipie ni wangapi TZ? At least in rough percentage estimation?

Hata kama ni 1%, hii ina maana 1% wakilipia, system itakuwa na uwezo wa ku absorb 1% more ya wale wasioweza kujilipia, au (kwa mfano kama tukitimiza ndoto ya kusomesha wote, asiwepo asiyejiweza ambaye atakosa nafasi) hata kupeleka hizo funds katika kusomesha wasiojiweza vyuo vikuu, au hata kutumia hizo funds katika social services nyingine. Tusitake kujifanya kama tushamaliza matatizo yetu yote na hii elimu mpaka form six ndilo tatizo letu la mwisho, si kweli, tunahitaji kila senti tutakayoweza kuipata, serikali yetu haina fedha kwa hivyo. Na hata tukiweza kuongeza mapato ya kodi kuna mambo lukuki yanaisubiri kodi hiyo hiyo. Barabara, umeme, maji, afya you name it. Sasa kwa nini tusiwalipishe watu wenye uwezo wa kulipa?

Ni rahisi sana ku dismiss kwamba wenye uwezo ni wachache, lakini je ushawahi kujiuliza ungejisikiaje kama wewe ndiye ungekuwa huna uwezo halafu mwenye uwezo kachukua nafasi yako ?

Leo tukisema tuue Mtanzania hata mmoja utasema mtu mmoja ni idadi ndogo sana ukilinganisha na watanzania ? Vipi kama tukiamua kwamba mtu mmoja huyu awe wewe?

Kitu cha kujadili hapa, ni kwamba mwenye uwezo kujilipia kutolipishwa ni sawa au si sawa, one only has to look at our private schools and the type of lifestyles some kids live, hivi tunataka kujitwika mizigo ya kusomesha wote hawa bila sababu ya msingi ?
 
Hata kama ni 1%, hii ina maana 1% wakilipia, system itakuwa na uwezo wa ku absorb 1% more ya wale wasioweza kujilipia, au (kwa mfano kama tukisomesha wote, asiwepo asiyejiweza ambaye atakosa nafasi) hata kupeleka hizo funds katika kusomesha wasiojiweza vyuo vikuu, au hata kutumia hizo funds katika social services nyingine.

Ni rahisi sana ku dismiss kwamba wenye uwezo ni wachache, lakini je ushawahi kujiuliza ungejisikiaje kama wewe ndiye ungekuwa huna uwezo halafu mwenye uwezo kachukua nafasi yako ?

Leo tukisema tuue Mtanzania hata mmoja utasema mtu mmoja ni idadi ndogo sana ukilinganisha na watanzania ? Vipi kama tukiamua kwamba mtu mmoja huyu awe wewe?

Kitu cha kujadili hapa, ni kwamba mwenye uwezo kujilipia kutolipishwa ni sawa au si sawa, one only has to look at our private schools and the type of lifestyles some kids live, hivi tunataka kujitwika mizigo ya kusomesha wote hawa bila sababu ya msingi ?

Kiranga,

Mkuu hali ya elimu nchini ni mbaya sana. Tangu serikari ilipoamua kuondoa priority katika elimu, tumejikuta tuna hali mbaya sana, kwani hata hao wanafunzi wachache waliofanikiwa kufika elimu ya juu wamefika kimkanda mkanda. CHADEMA wanamua kusomesha watoto wetu bure hadi seconday, sambamba na kuboresha elimu (inajumuisha mitaala, system yenyewe, etc). Hili ni jambo jema kwa makovu na vidonda vilivyopo/achwa na system yetu ni vikubwa mno.

I agree with your argument, but i strongly believe this will have to follow baadaye, maana kwa serikali makini lazima kuboresha kila eneo, na kuwaanda wananchi kulipia elimu. Mathalani tukaanza na primary then ;later secondary. Mkuu watanzania bado tu masikini sana kulipia elimu mkuu wangu; na amini na kuambia wenye uwezo sasa ni wachache sana. Hii ya kulipia elimu shule hizi za academia asilimia kubwa wanafanya kama fasion!!! CHADEMA kwa sasa wanatueleza tu mianya ambayo ccm wameilea na kufuja fedha za umma. Hii ni lazima ithibitiwe and then wakusanye kodi toka maeneo mapya. Kwa ujumla mfumo wa kodi TZ ni mbovu kupindukia!!! Tukikusanya vizuri na disciplines katika matumizi, tunaweza makubwa zaidi!!!

Kwa kuwa wanaoweza sasa ni wachache, elimu ikiboreshwa, rushwa ikafa, wote tutakuwa na vipato sawa kutokana na madaraja yetu kazini. Lililopo sasa ni kila mtu na lake. Utakuta mtu anapaswa kuwa na kipato cha chini, lakini ana nyumba masaki tena yenye thamani hata kumzidi yeye mwenyewe!!! Sekali ikiwa makini kila mtu akapata chake ch ahaki yake, tutaweza tu. Hizi hela unazoona wengine wanaweza ni kutokana na mfumo duni, rushwa kwa saaana!!! Kuna wafanya kazi wa TRA, mawizara etc wana maisha hata kuzidi mawaziri; ukiangalia sana unakuta ni rushwa!!!
 
As somebody pointed out earlier, this is largely an academic exercise and a sounding board.

CHADEMA haiwezi kupitisha mabadiliko yoyote kwani haiwezi kushinda kiasi cha kuwa na serikali. Let's just be realistic.

Ukisema "I agree with your argument, but this will have to follow later" nashangaa unasema hilo kwa nini. Ni vizuri kama unaanza system uanze vyote mapema, usije ku disrupt system mara mbili wakati ungeweza kufanya yote mara moja.

Sina matatizo na elimu bure kwa wote wasiojiweza, nina matatizo na elimu bure kwa wote. Elimu bure kwa wote will remain an academic exercise, a Selassian mirage to be pursued but never attained.
 
Mali bila daftrai, hupotea bila habari. Mnataka kuleta free for all scenario, hapo hapo mnasisitiza financial discipline kupunguza wizara and all, contradiction.

Kama kweli mnataka financial discipline na strict resource management waacheni wenye uwezo wajilipie.
Mkuu, naomba unisaidie kutenganisha kati ya masikini na tajiri katika kutoa huduma za jumla kama elimu.

Nimejaribu kufukiria, nadhani kama ingewezekana kutenganisha utoaji huo wa huduma na bado lengo la kuwa na jamii iliyoelimika vya kutosha ikafikiwa, itakuwa jambo jema zaidi. Ila sijaweza kubainisha namna ya kutenganisha watu wawili hawa, mmoja masikini na mwingine tajiri. Ni vigezo gani vinavyoweza kutumika kama controls za kumfanya tajiri asitake kufaidika na huduma inayotolewa kwa masikini? Na ni umasikini kiasi gani unaohitajika kumfanya mtu afuzu kupata huduma hiyo ya bure?

Nadhani matajiri wa kweli watapenda watoto wao wasome katika shule bora zaidi kadiri wanavyoweza. Kama shule bora zaidi zitakuwa ni zile za serikali, basi nadhani huko ndiko kila mtu atakapotaka mwanae aende. Ila najua kuwa si rahisi kwa shule binafsi kukubali kushindwa ubora na shule za serikali. Hivyo watajitahidi kuongeza ubora wa elimu wanazotoa. Inawezekana na gharama zikaongezeka pia kiasi cha kufanya wengi wa hao wanaoonekana matajiri pia kushindwa kuzimudu.

Elimu ndio chanzo cha maendeleo ta Taifa lolote. Wachina walichukua hatua za makusudi kusomesha watu wao ili waweze kujenga nchi yao. Hivi sasa, China ni nchi tajiri katika nafasi ya pili duniani. Juzi juzi tu walikuwa kati ya nchi masikini. Kwanini sisi tunadhani hatutakiwi kuchukua hatua hizo muhimu?

Kuna nchi duniani (mfano UK) wao huzalisha wataalamu na kuwasambaza duniani. Hupata pato kubwa sana kutokana na uuzaji huo wa services. Kenya pia ina wasomi wengi tu ambao pia huchangia sana pato la nchi yao. Mwaka jana peke yake, tathmini za pesa zilizokuwa zikitoka wa Wakenya waishio abroad ilikuwa ni wastani wa dollar $1bil. Hii si pesa ndogo hata kidogo.
 
Mimi tatizo langu, kama nilivyowahi kusema kabla, si kwamba haiwezekani, tatizo langu ni kwamba, is it economic? Is it the best use of our resources kuwasomesha hata watu wanaoweza kujilipia gharama zao kwa kuwapa elimu ya bure?
Mkuu, kiuchumi ni very economic kuhakikisha kuwa elimu ya kutosha kwa watu wote inapatikana. Swali lako ni sawa na kusema, is it economical to provide security services to all/ Or os it economical to provide health care to all? To me, the answer is YES. It is economical to eradicate ignorance to any society that is serious and strives for development and security.

Wananchi wengi hufa kwa maradhi yanayotibika kwa kutokujua tu. Elimu duni ina gharama sana kwa Taifa kuliko kuangamiza ujinga. Jamii yenye watu wajinga huigharimu sana serikali yao katika kila nyanja.
 
Mkuu, naomba unisaidie kutenganisha kati ya masikini na tajiri katika kutoa huduma za jumla kama elimu.

Nimejaribu kufukiria, nadhani kama ingewezekana kutenganisha utoaji huo wa huduma na bado lengo la kuwa na jamii iliyoelimika vya kutosha ikafikiwa, itakuwa jambo jema zaidi. Ila sijaweza kubainisha namna ya kutenganisha watu wawili hawa, mmoja masikini na mwingine tajiri. Ni vigezo gani vinavyoweza kutumika kama controls za kumfanya tajiri asitake kufaidika na huduma inayotolewa kwa masikini? Na ni umasikini kiasi gani unaohitajika kumfanya mtu afuzu kupata huduma hiyo ya bure?

Nadhani matajiri wa kweli watapenda watoto wao wasome katika shule bora zaidi kadiri wanavyoweza. Kama shule bora zaidi zitakuwa ni zile za serikali, basi nadhani huko ndiko kila mtu atakapotaka mwanae aende. Ila najua kuwa si rahisi kwa shule binafsi kukubali kushindwa ubora na shule za serikali. Hivyo watajitahidi kuongeza ubora wa elimu wanazotoa. Inawezekana na gharama zikaongezeka pia kiasi cha kufanya wengi wa hao wanaoonekana matajiri pia kushindwa kuzimudu.

Elimu ndio chanzo cha maendeleo ta Taifa lolote. Wachina walichukua hatua za makusudi kusomesha watu wao ili waweze kujenga nchi yao. Hivi sasa, China ni nchi tajiri katika nafasi ya pili duniani. Juzi juzi tu walikuwa kati ya nchi masikini. Kwanini sisi tunadhani hatutakiwi kuchukua hatua hizo muhimu?

Kuna nchi duniani (mfano UK) wao huzalisha wataalamu na kuwasambaza duniani. Hupata pato kubwa sana kutokana na uuzaji huo wa services. Kenya pia ina wasomi wengi tu ambao pia huchangia sana pato la nchi yao. Mwaka jana peke yake, tathmini za pesa zilizokuwa zikitoka wa Wakenya waishio abroad ilikuwa ni wastani wa dollar $1bil. Hii si pesa ndogo hata kidogo.

CHADEMA wana claim watakuja na a more efficient revenue collection system, ukiwa na an efficient revenue collection system utajua wananchi wako wana vipato gani, kulingana na vipato vyao unaweza kusema mtu yeyote mwenye kipato cha zaidi ya shilingi kadhaa kwa mwaka hatasomeshewa wanawe bure na serikali. Hii itahakikisha kina Rostam Aziz, Mengi na wengine wenye uwezo hawatasomeshewa watoto wao bure.

Kama una system nzuri ya revenue collection hili la kujua nani anaqualify na nani ha qualify si tatizo. Marekani watu mamia ya mamilioni lakini serikali inajua vipato halali vya watu, na hata ukidanganya kwenye tax returns kuhusu interest uliyomake kutoka kwenye bank account fulani, benki nayo inapeleka taarifa zako IRS wanafanya comparison.

Sisi hatujaweza hata kukusanya kodi vizuri tushaanza kuistretch matumizi yake.
 
Mkuu, kiuchumi ni very economic kuhakikisha kuwa elimu ya kutosha kwa watu wote inapatikana. Swali lako ni sawa na kusema, is it economical to provide security services to all/ Or os it economical to provide health care to all? To me, the answer is YES. It is economical to eradicate ignorance to any society that is serious and strives for development and security.

Wananchi wengi hufa kwa maradhi yanayotibika kwa kutokujua tu. Elimu duni ina gharama sana kwa Taifa kuliko kuangamiza ujinga. Jamii yenye watu wajinga huigharimu sana serikali yao katika kila nyanja.

Tofautisha ku provide na ku fund, ku provide si lazima u fund. Unaweza kuwa na shule ina nafasi, umeweka nafasi hizi za masomo, asiye na uwezo atasomeshwa na serikali, mwenye uwezo atajilipia. Ume provide access to education for all, huja fund kwa wale wanaoweza kujilipia.

Tatizo ujamaa umetudumaza tunafikiria kusaidiwa na serikali tu, hata pale msaada huu usipohitajika.

Ndiyo maana hata watu kusafisha mazingira ya nje ya nyumba zao watakwambia "serikali this, serikali that". Hatuendelei hivyo.

Hili la kutaka wanaojiweza walipiwe gharama za elimu na serikali halina tofauti na mtu mwenye nyumba yenye uwanja mchafu, ana uwezo wa kufagia, lakini anataka serikali imnunulie ufagio. Same thing.

Mtu ana uwezo wa kufanya kitu wewe unamdekeza eti serikali imsaidie.
 
Remember CCM is spending 50 billion just on the presidential campaign. All we need is twice that for free education!!!!!

Free education is a recurring cost!!! and compaign cost is one time cost!!! Wachumi uchwara acheni kudanganya watu!
 
Tofautisha ku provide na ku fund, ku provide si lazima u fund. Unaweza kuwa na shule ina nafasi, umeweka nafasi hizi za masomo, asiye na uwezo atasomeshwa na serikali, mwenye uwezo atajilipia. Ume provide access to education for all, huja fund kwa wale wanaoweza kujilipia.

Tatizo ujamaa umetudumaza tunafikiria kusaidiwa na serikali tu, hata pale msaada huu usipohitajika.

Ndiyo maana hata watu kusafisha mazingira ya nje ya nyumba zao watakwambia "serikali this, serikali that". Hatuendelei hivyo.

Hili la kutaka wanaojiweza walipiwe gharama za elimu na serikali halina tofauti na mtu mwenye nyumba yenye uwanja mchafu, ana uwezo wa kufagia, lakini anataka serikali imnunulie ufagio. Same thing.

Mtu ana uwezo wa kufanya kitu wewe unamdekeza eti serikali imsaidie.
Najua tofauti iliyopo kati ya funding na providing.

Ninachomaanisha katika hili ni ku-provide free education. Who funds is non of anyone's business.

Education has to be a main agenda in country's development. Hakuna society itakayokuwa bila good education to its people. Hata kama tuna matanio makubwa au madogo kiasi gani.
 
Back
Top Bottom