Mkuu ulimsikiliza Mzee Hamisi kwenye kipindi cha meza ya busara WAPO Radio siku ya Jumanne? Aliyanena maneno haya! Nilicheka sana.Ukiacha kauli mbiu ya Peoples poweeeerrr tumepata kauli mbiu mpya kutoka kwa mch. Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini.... na mwezi mwenyewe wa kukamata ni ccm, Chademaaa..... Kamata mwizi meeeeeeeeeen....
Let me be honest, this is a zero thread. Inatujazia server bure, Mods iondoeni.Ukiacha kauli mbiu ya Peoples poweeeerrr tumepata kauli mbiu mpya kutoka kwa mch. Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini.... na mwezi mwenyewe wa kukamata ni ccm, Chademaaa..... Kamata mwizi meeeeeeeeeen....
Una matatizo wewe... Inaelekea na wewe ni MWIZI ndio maana inakuuma. We unajua capacity ya servers za JF? Umeona wapi Alert inayoonyesha kuwa server inakariboa kujaa?Let me be honest, this is a zero thread. Inatujazia server bure, Mods iondoeni.
Mkuu, kiukweli thread yako haina mashiko.MNYISANZU;3784713]Let me be honest, this is a zero thread. Inatujazia server bure, Mods iondoeni.
Frankly speaking hukutakiwa kuwasha hata server yako ili upate ujumbe huu, kalale upunguze stress ulizonazo...
Mkuu, tuache ushabiki, thread hii haijakidhi kiwango kabisa cha kuwa posted humu.Una matatizo wewe... Inaelekea na wewe ni MWIZI ndio maana inakuuma. We unajua capacity ya servers za JF? Umeona wapi Alert inayoonyesha kuwa server inakariboa kujaa?
Huu umagamba wenu umezidi, mtakoma mwaka huu TUNAKAMATA MWIZI MEEEEEEEEN
Let me be honest, this is a zero thread. Inatujazia server bure, Mods iondoeni.
Huna sababu ya kupagawa mkuu. Humu JF ni full funny. Yaani wewe ukitaka za kistaarabu, kuna wengine wanataka za aina hii. So usizuia starehe za watu.Let me be honest, this is a zero thread. Inatujazia server bure, Mods iondoeni.
Mkuu, kiukweli thread yako haina mashiko.
Let me be honest, this is a zero thread. Inatujazia server bure, Mods iondoeni.