KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #21
Kim unampenda Zitto naona
Sio hivyo boss,unajua mimi nisichopenda ni unafiki wa watu wa chadema,ndio maana unaona nawananga kujaribu kuwarudisha kwenye mstari kwa kuwakumbusha wanayojisahaulisha,kipindi zitto anatishia kumng'oa pinda jamaa wa chadema waliibeba ile hoja ya zitto ambayo kimsingi haikua ya chama bali ilikua ya mbunge binafsi kwa wafuatiliaji wa siasa za humu watakumbuka nilipoona mashabiki wa chadema wameibebea bango ile hoja na kutaka kuifanya ni ya chadema nikaanzisha thread maalum kuwakumbusha nikisema Hoja ya Zitto sio ya CHADEMA,basi naam nikawa nimeuwasha moto,kila mtu alinizomea na kujaribu kuonyesha jinsi gani zitto ni mzalendo mali ya chadema,sasa kuona leo watu wale wale waliokua wakijitapa na zitto wakijaribu kumchafua na kumkejeli kisa anataka kumtest mgombea wao kwenye uchaguzi wa kumpata mgombea urais wa cdm ama kwenye nafasi ya uenyekiti wa chadema kumtest mzee,ndio ninapowaona hawa jamaa ni wanafiki sana na wanamtumia zitto kama condom,pale wanapomhitaji tu,wakimaliza matumizi wanamtupa na kudai eti anatumiwa!