CHADEMA yazidi kutikisa UZINI Zazibar

Ili kuipenya zanzibar chadema wanahitaji propaganda ya juu sana na hii ni kati ya propaganda hiyo kwamba inakubarika zanzibar wakati ukweli haikubariki.

Angalia vizuri kiswahili chako ama tumia kamusi mkuu wangu
 
Hivi huyu Mwita Waitara anajua anachoongea au na yeye analipukua tu kama Magamba?! Hivi anajua technology and cost ya kufanya DESALINATION of Ocean/sea water?

Ndiyo Zanzaibar imezungukwa na maji lakini yale ni maji ya chumvi. Hata nchi zilizoendelea kama Japan haithubutu kufanya desalination of ocean water for domestic use insteady wametafuta vyanzo vinginevyo vya kupata maji ambayo siyo ya chumvi.

Anataka kuwadanganya wana Uzini kwamba CDM ikipewa dola itaweza kufanya desalination of ocean water kuondoa tatizo la maji?

Ama kweli all politician are alike. Ujinga wa wana Siasa tuukate out right, vinginevyo hata sisi wasomi tutaonekana bogus!

Wewe ni nsomi njaa wa aina ya Dk Bana
 
IKIWA ni wiki ya lala salama ya kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la uwakilishi la Uzini, visiwani Zanzibar, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tayari kimefanya mikutano 68 ya kumnadi mgombea wake, Ali Mbarouk Mshimba.
Hatua hiyo inatokana na chama hicho kufanya mikutano minane ya hadhara kila siku ili kuhakikisha jimbo hilo linatua mikononi mwake pamoja na kuwafikia wananchi wengi.Ni wazi kuwa chama hicho sasa kinatishia vyama viwili vya CCM na CUF na upo uwezekano mkubwa wa CHADEMA kunyakua jimbo hilo.
Katika mkutano uliofanyika kwenye Shehia ya Pagali, kada wa CHADEMA, Mtera Mwampamba, aliwataka vijana kujiepusha na kasumba ya kubebwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye mikutano yake kwa ahadi ya kupatiwa ajira.
Mwampamba alisema badala yake vijana hao wanatakiwa kukumbuka walichofanyiwa katika uchaguzi mkuu uliopita baada ya kubebwa na kupelekwa kisiwani Pemba ambapo wengi wao walirudi na vilema na wengine kupoteza maisha.
Aliwataka vijana hao wasiwe na ugonjwa wa kusahau kiasi hicho, kwa kuwa hadi leo kati ya hao waliopelekwa, hakuna hata mmoja aliyepata ajira.
Naye, Ofisa Mwandamizi wa Utafiti na Sera wa CHADEMA, Mwita Waitara, aliwataka wakazi wa Uzini kutosita kuitosa CCM, kwa kuwa katika miaka 48 iliyokaa madarakani hakuna maendeleo iliyowafanyia.
Akitolea mfano alisema Uzini leo isingetakiwa kukosa huduma za maji ukizingatia kwamba Zanzibar pembe zote imezungukwa na maji, pia jimbo hilo halina shule wala zahanati, pamoja na kufahamika kuwa ndilo la pili katika harakati za kuleta mapinduzi.

SOURCE:TANZANIA DAIMA

al saaf
 
Uzuri wa jimbo hilo wapiga kura hawazidi 5000 kwa hiyo kura zinajulikana hata kabla ya uchaguzi
 
IKIWA ni wiki ya lala salama ya kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la uwakilishi la Uzini, visiwani Zanzibar, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tayari kimefanya mikutano 68 ya kumnadi mgombea wake, Ali Mbarouk Mshimba.
Hatua hiyo inatokana na chama hicho kufanya mikutano minane ya hadhara kila siku ili kuhakikisha jimbo hilo linatua mikononi mwake pamoja na kuwafikia wananchi wengi.Ni wazi kuwa chama hicho sasa kinatishia vyama viwili vya CCM na CUF na upo uwezekano mkubwa wa CHADEMA kunyakua jimbo hilo.
Katika mkutano uliofanyika kwenye Shehia ya Pagali, kada wa CHADEMA, Mtera Mwampamba, aliwataka vijana kujiepusha na kasumba ya kubebwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye mikutano yake kwa ahadi ya kupatiwa ajira.
Mwampamba alisema badala yake vijana hao wanatakiwa kukumbuka walichofanyiwa katika uchaguzi mkuu uliopita baada ya kubebwa na kupelekwa kisiwani Pemba ambapo wengi wao walirudi na vilema na wengine kupoteza maisha.
Aliwataka vijana hao wasiwe na ugonjwa wa kusahau kiasi hicho, kwa kuwa hadi leo kati ya hao waliopelekwa, hakuna hata mmoja aliyepata ajira.
Naye, Ofisa Mwandamizi wa Utafiti na Sera wa CHADEMA, Mwita Waitara, aliwataka wakazi wa Uzini kutosita kuitosa CCM, kwa kuwa katika miaka 48 iliyokaa madarakani hakuna maendeleo iliyowafanyia.
Akitolea mfano alisema Uzini leo isingetakiwa kukosa huduma za maji ukizingatia kwamba Zanzibar pembe zote imezungukwa na maji, pia jimbo hilo halina shule wala zahanati, pamoja na kufahamika kuwa ndilo la pili katika harakati za kuleta mapinduzi.

SOURCE:TANZANIA DAIMA
[/QUO




Kumbe source ni gazeti la uhuru la CDM

Utahangaika sana mkuu lakini jimbo linaenda Chadema
 
Naona makamanda wote waandamizi wamekimbia kuanzia Padre na Mbowe na wengine wamemwacha Waitara na Mwampamba.

Ok kufanya mikutano mingi sio kigezo cha ushindi. Kwani kikubwa kinachotakiwa na kukubalika kwa sera zenu na itikadi zenu.
Je Chadema mnatosha Znz kutokana na kauli zenu majukwaani na Bungeni kuhusu Znz na waZnz?

Majibu ni kwenye kisanduku cha kura.

Tuvute subra.
 
Uzuri wa jimbo hilo wapiga kura hawazidi 5000 kwa hiyo kura zinajulikana hata kabla ya uchaguzi

Ni kweli mkuu nasikia tayari kwa Uzini Chadema ina uhakika wa kura 3000.CCM na CUF wanabeba watu kwenye malori tofauti na CDM wanahangaika na watu wa hapohapo
 
inawezekana jimbo moja zanzibar ni sawa na kitongoji cha Tanganyika. yaani jimbo zima hamna shule wala zahanati!?. haiwezekani.
 
Naona makamanda wote waandamizi wamekimbia kuanzia Padre na Mbowe na wengine wamemwacha Waitara na Mwampamba.

Ok kufanya mikutano mingi sio kigezo cha ushindi. Kwani kikubwa kinachotakiwa na kukubalika kwa sera zenu na itikadi zenu.
Je Chadema mnatosha Znz kutokana na kauli zenu majukwaani na Bungeni kuhusu Znz na waZnz?

Majibu ni kwenye kisanduku cha kura.

Tuvute subra.

Pole Barubaru kosa lenu CUF ni kuolewa na CCM.Jimbo tayari limechukuliwa na CDM wananchi wameshaamua.Mtahangaika sana na propaganda za udini lakini Mungu yupo upande wa mwenye haki
 
padri slaa na dj mbowe wamepakimbia kule

Ndugu,

Licha ya kutoka nje ya mada na kupotea njia udini unautoa wapi? Hakuna mtanzania asiyejua kuwa Dr. Slaa alishakuwa Padri!. Vyeo na kazi za watu zimeingiaje kwenye mada au unataka watu waungane na kuamini aliyoyasema Molemo kwamba Mwendawazimu siku zote utamjua kwa anachokiandika
 
inawezekana jimbo moja zanzibar ni sawa na kitongoji cha Tanganyika. yaani jimbo zima hamna shule wala zahanati!?. haiwezekani.

Yaani mkuy imeniuma sana.Ndio maana wananchi wa Uzini kwa kauli moja wameamua kuchagua Chadema hasa kutokana na jinsi wabunge wa bara wa Chadema wanavyotetea majimbo yao.Hongereni wana Uzini kwa uamuzi wa busara sana
 
Acha kudanganya watu kwa kukariri mambo, Japan hawajashindwa bali hawajaamua, haiingii akilini Japan washindwe and then Cyprus waweze.

Cyprus doing desalination of ocean water for domestic and industrial use?! You're making yourself a laughing stock!.

Tatizo lako you can't read between the lines. Mimi sijasema Japan wameshindwa. Japan wanaweza, they have the technology and money. The question here is it cost effective? ingawa wana plenty of ocean water? Ndipo linakuja suala la vyanzo mbadala vya maji ambayo sio ya chumvi!

Ninaomba Hydrologists kama mpo humu muwasaidie hawa CDM because wakishika dola wanaweza wakaja na white elephant projects kama hili la kufanya desalination of ocean water Watanzania wote tukaoneakana mapoyoyo. Bora hata mvua ya EL ya Thailand kuliko hizi njonzi anazoota Mwita Waitara!
 
Cyprus doing desalination of ocean water for domestic and industrial use?! You're making yourself a laughing stock!.

Tatizo lako you can't read between the lines. Mimi sijasema Japan wameshindwa. Japan wanaweza, they have the technology and money. The question here is it cost effective? ingawa wana plenty of ocean water? Ndipo linakuja suala la vyanzo mbadala vya maji ambayo sio ya chumvi!

Ninaomba Hydrologists kama mpo humu muwasaidie hawa CDM because wakishika dola wanaweza wakaja na white elephant projects kama hili la kufanya desalination of ocean water Watanzania wote tukaoneakana mapoyoyo. Bora hata mvua ya EL ya Thailand kuliko hizi njonzi anazoota Mwita Waitara!

Tatizo hatuna vipaumbele,Libya wanatumia maji gan?au umetumwa na Nape kumwaga upupu?masaburi at work
 
Naona makamanda wote waandamizi wamekimbia kuanzia Padre na Mbowe na wengine wamemwacha Waitara na Mwampamba.

Ok kufanya mikutano mingi sio kigezo cha ushindi. Kwani kikubwa kinachotakiwa na kukubalika kwa sera zenu na itikadi zenu.
Je Chadema mnatosha Znz kutokana na kauli zenu majukwaani na Bungeni kuhusu Znz na waZnz?

Majibu ni kwenye kisanduku cha kura.

Tuvute subra.

Hata kama CDM haitashinda lakini itakuwa imepata wafuasi wengi,huo ni mwanzo mzuri kuelekea 2015
 
Acha kudanganya watu kwa kukariri mambo, Japan hawajashindwa bali hawajaamua, haiingii akilini Japan washindwe and then Cyprus waweze.

Kama Japan WAMESHINDWA sio kweli,iweje JAPAN ashindwe na JORDAN atenge between 5-10 billion dollars ya desalination project kuanzia mwakani?Jordan ana uchumi mkubwa kuliko Japan?

Mwita was right,hakuna hata sababu moja ya ZNZ kukosa maji na kama tunaogopa gharama kuleta projects za maji TZ basi haina haja ya kugombea uongozi kwani kila mmoja anafahamu umuhimu wa maji kwa viumbe hai!
 
itakuwa ni maajabu ya Mwaka wakichukua jimbo
songht2.jpg
songgd.jpg

songjh.jpg
 
Back
Top Bottom