uko chooni mkuu pole
sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote, ninachokuambia amini ndivyo hali halisi kwa sasa mkoani arusha, chadema ipo hoi
Kanda ya Kasikazini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibu, Kanda ya Kusini -- CCM msahau milele.
Uhai wenu kiasi umebakia Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro na Pwani.
sawa mkuu, hata mgonjwa mahututi hujipa moyo kwamba atapoana, tena akikwambia anataka chipsi ukiwa mtu mzima wa hekma basi utawajulisha ndugu ili kuandaa maturubai.acha kutusemea watanzania wewe ongea kwa nafsi yako kanda ya ziwa haitabiriki kwanza usituchokoze.
Imefikia mahali kulazimisha kupandisha bendera zao katika vijiwe vya mjini Arusha ili kuonekana kua bado wanakubalika, huku in reality wananchi wamechoshwa na kauli zisizo na tija na utendaji mbovu wa mbunge wao.
Wapo wanaoapa kua hawana hamu ya kuona wala kukisikia tena chama hiki, kutokana na kupoteza mikataba minono ya kibiashara na wageni wa nje, wakihofia hali mbaya ya usalama kutokana na maandamano na kauli tata za mbunge wa Arusha zinazochochea maandamano yenye vurugu.
Siku za CHADEMA zinahesabika mpaka tufikie uchaguzi 2015.