CHADEMA yaweweseka...

CCM wapo so full of themselves... Inauma kuwa hawana busara kabisa na kutaka kuonesha kwa ubabe dhidi ya vyama vingine hasa CDM inawafanya wakose upeo wa kufikiria kuwa wananchi tunaona yote na yanatuumiza. Inakuwa kama wanachukulia Watanzania wote ni wapuuzi na wa kuendeshwa tu.

Nashangaa kwa hii habari, nilipoona habari ya kuhusu Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo mh. Amos Makalla kuendelea na shughuli zake za kisiasa katika jimbo lake tena wakati huu huu wa sensa ambapo serkali imetoa agizo shughuli kama hizo zisimame; nilichukulia kama bahati mbaya fulani hivi. Sasa hii ni dhahiri kabisa kuwa makusudi yao!

BTW Hivi vichwa vya habari naona ni wakati wa fani ya uandishi iangaliwe upya, sasa hapo CHADEMA wanaweweseka ama kueleza facts?

That's pure class, sister.
 
Mimi nikiwaambia chdm imejaa waropokaji mnabisha, siku zote ukishindwa kufuata taratibu utaishia kulalama tu. wenzenu wanafanya maandamano ya kistaarabu, ninyi mnasababisha maafa tukiangalia arusha, singida na sasa morogoro, tunapata picha mbaya kuhusu maandamano ya cdm, na hivyo kwa polisi kuchukua tahadhari kwa wauaji ni sahihi kabisa. haya tuangalie mambo ya katiba na sensa hivi kama mtu unaakili za kutosha unaweza kufananisha na mikutano ya mvt for Chagaland>? Na iweje nyie muwe mnasababisha maafa halafu mumpe raisi kazi ya kuunda mitume isiyokuwa na tija,? haya ndo mapungufu ninayoyaona kwa wanachadema they think too little.

Acha kutuonyesha upuuzi wako wewe na uwezo wako finyu wa kufikiri. njaa zako unazoziendekeza zitakuua kabla ya muda wako!!!!!!!!
unataka utudanganye kwamba jeshi la polisi linaloua raia wa tanzania wasio na hatia ni wafuasi wa chadema!!!!!una maana kwamba CHADEMA ndio wanatoa amri kwa polisi kuua raia?????!!!!!!!!useless propaganda!!!!shame on you!!!
 
mikutano ya CDM inajaa sana watu, so ikiendelea sensa haifanyiki, ya CCM watu wachache hata wasipohesabiwa hakuna effect. Ndo maana imesitishwa kwanza.

haya ni mawazo yangu tu
 

ALHAMISI, AGOSTI 30, 2012 05:21 NA ARODIA PETER

*Yalia polisi kuiruhusu CCM Lindi kuandamana
*Yaikataa tume ya kuchunguza mauaji Morogoro


WAKATI Jeshi la Polisi nchini, likisitisha mikutano na maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeonekana wazi kuweweseka, baada ya wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Lindi kuandamana jana.

Habari kutoka mkoani Lindi, zinasema wafuasi wa CCM waliandamana wakati wakimsindikiza mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Wilaya wa chama hicho, Muhsin Rafi Ismail.

Kutokana na hali hiyo, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA, John Mnyika, aliitisha mkutano wa waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana na kusema maandamano hayo yameonekana wazi kukiuka maagizo ya Jeshi la Polisi.

"Tumeshangazwa sana na wenzetu wa CCM kufanya maandamano ya kumsindikiza mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Wilaya… kama tunavyokumbuka juzi polisi wamezuia vyama vyote kufanya mikutano hadi zoezi la Sensa ya Watu na Makazi litakapomalizika, jamani mbona hatutendawi haki.

"Ukiacha maandamano hayo, tunashangaa kuona Tume ya Kukusanya Maoni ya Katiba mpya, inaendelea na mikutano yake katika mikoa mbalimbali… je, suala hili haliingilii Sensa?" Alihoji Mnyika.

"Hapa hatuoni polisi wakiwazuia kwa kuwa Sensa inaendelea, zuio hilo linajitokeza wakati Chadema inapotaka kufanya shughuli zake za kisiasa kwa mujibu wa Katiba," alisema Mnyika.

Alisema wao kama chama, wanaheshimu mazungumzo na utawala wa sheria, ndiyo maana wameamua kuheshimu wito wa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Said Mwema, wa kusitisha mikutano na maandamano yao ili kupisha Sensa ikamilike.

Hata hivyo, alisema wanalitaka Jeshi la Polisi kutoa tamko ili umma ufahamu ni shughuli gani za kisiasa zinapaswa kuendelea ili kuepuka vikwazo.

MTANZANIA ilipomtafuta mgombea wa CCM Wilaya ya Lindi, Ismail kupata ukweli, alisema: "Ni kweli tumeandamana na wafuasi wangu wakati wa kurudisha fomu…sisi tunaona ni jambo la kawaida, hao wanaobeza wana lao jambo.

"Ni kweli maandamano yalifanyika, kimsingi ni marafiki zangu wameamua kunisindikiza, walikuwepo watembea kwa miguu, baiskeli, pikipiki na bajaji.

"Maandamano yalianzia nyumbani kwangu, Mtaa wa Uhuru, yakapita Soko Kuu, stendi ya mabasi kuelekea ofisi za chama eneo la Wailes," alisema Ismail.

Wakati huo huo, Mnyika alisema chama hicho kimeikataa tume iliyoundwa na Jeshi la Polisi kuchunguza kifo cha kijana Ally Zona, kilichotokea wakati wa kuzima maandamano yake mjini Morogoro.

Alisema, chama hicho kimefikia uamuzi wa kuikataa tume hiyo, kwa sababu tume nyingi ambazo zimeundwa na jeshi hilo, hazijawahi kutoa ripoti hadharani.

"Kama jeshi hili limeweza kumpotosha Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emanuel Nchimbi, kuhusu sababu za wao kuzuia maandamano yetu, watashindwaje kuhujumu uchunguzi huo?

"Tunatoa taarifa rasmi, tunapinga na hatuitambui timu iliyoundwa na Jeshi la Polisi kuchunguza kifo hicho, kwa kuwa pia wao ni watuhumiwa wa mauaji hayo.

"Kifo hiki kinapaswa kuchunguzwa na tume huru na siyo polisi ambao ni watuhumiwa wakuu wa suala hili," alisema Mnyika.

Aidha katika hatua nyingine, Chadema kimemwomba Rais Kikwete kutumia madaraka yake ya kikatiba, kutekeleza sheria (Enquest Act), Ibara ya 33 (3), kuunda tume huru ya kuchunguza kifo chochote chenye utata.
 
Usawa hautakuwepo; CCM haitaweza kuunda chombo chenye kuleta USAWA na KATIBA huru haipo; SULUHISHO ni CHADEMA

na VYAMA vinavyopenda USALAMA kuomba MSAADA nje ya NCHI EUROPE na USA ku-pressure TZ GVT kuunda hicho chombo

au hizo NCHI ziingilie kati UHURU na USALAMA wa UCHAGUZI LA SIVYO UDIKTETA WA CCM...
 
Chadema tunalia na double standard za polisi. Au CCM wana haki ya kuandamana chadema hawana? hapo hakuna kuweweseka ni usndishi wa kishabiki tu, propaganda hazina nafasi tena. CCM mwisho wao 2015
 
Mimi nikiwaambia chdm imejaa waropokaji mnabisha, siku zote ukishindwa kufuata taratibu utaishia kulalama tu. wenzenu wanafanya maandamano ya kistaarabu, ninyi mnasababisha maafa tukiangalia arusha, singida na sasa morogoro, tunapata picha mbaya kuhusu maandamano ya cdm, na hivyo kwa polisi kuchukua tahadhari kwa wauaji ni sahihi kabisa. haya tuangalie mambo ya katiba na sensa hivi kama mtu unaakili za kutosha unaweza kufananisha na mikutano ya mvt for Chagaland>? Na iweje nyie muwe mnasababisha maafa halafu mumpe raisi kazi ya kuunda mitume isiyokuwa na tija,? haya ndo mapungufu ninayoyaona kwa wanachadema they think too little.

acha ujinga. nadhani unatumia masaburi kuongea
 
kuna watu wanastahili kupumzishwa mirembe ,wanachangia pumba kabisa. Sasa hao chadema wanajiua wenyewe mpaka mnasema chama cha fujo????
Au ukivaa KIJANI NA NJANO polisi hawakuoni nini?????
 
Mimi nikiwaambia chdm imejaa waropokaji mnabisha, siku zote ukishindwa kufuata taratibu utaishia kulalama tu. wenzenu wanafanya maandamano ya kistaarabu, ninyi mnasababisha maafa tukiangalia arusha, singida na sasa morogoro, tunapata picha mbaya kuhusu maandamano ya cdm, na hivyo kwa polisi kuchukua tahadhari kwa wauaji ni sahihi kabisa. haya tuangalie mambo ya katiba na sensa hivi kama mtu unaakili za kutosha unaweza kufananisha na mikutano ya mvt for Chagaland>? Na iweje nyie muwe mnasababisha maafa halafu mumpe raisi kazi ya kuunda mitume isiyokuwa na tija,? haya ndo mapungufu ninayoyaona kwa wanachadema they think too little.

ndugu yangu wewe ndo ,unatatizo la uelewa, sababu zuio la shughuli za kisiasa ni kwa vyama vyote ili kupisha sensa, je ccm si chama cha kisiasa bali cha mabwepande?hakuna maanadamano ya kisitaarabu wala ya kisiasa, bali kila maandamano yalitakiwa kuridhia amri ya polisi kupisha sensa, kivipi polisi hao hao wanazuia kwa sababu hizohizo na pia wanaruhusu kwa wagombea wa lindi kuandamana kwa shughuli za kisiasa?.Ndugu yangu taratibu na sheria zinatakiwa kuwa na ulinganifu , kukosa haitakuwa sheria na taratibu zinazotakiwa kuheshimika.haiwezekani polisiccm kuwa double standard, kwa chadema hapana kwa ccm sawa.
 
Magamba mnakanyagana mpaka basi,ninyi mmejichimbia kaburi mapema...mtazikwa rasmi 2015.
 
Kuna magazeti nilisahau kuyasoma kabisa!Muwe makini nausomaji wamagazeti jamani!**** walau Mwanc,Tz dai,Mwan-ohooo limefung....kosa kushusha mauzo yamagazeti kama hili lenye habari tajwa!Pia redio kunazingine sijui kama bado zipo kama aliyokuwa anatangaza yule kibo....o!
 
Huko sii kuweweseka Munyika amesema ukweli umwagikaji damu unao endelea ccm na selikar yake itabeba hii zambi kwakuto kuwa makini na mipango na maamzi yake

Nnchi hii ni ya watanzania wote sio ccm peke yao

Na bado, wataweweseka sana na udini na ukabila wao.
 
hivi kauli ya polis kusitisha maandamano na mikutano ya hadhara ililenga maandamano ya aina ipi na mikutano gani? ni jambo jepesi sana kujua kwamba walilenga mikutanao ya CDM kama ambavyo ilikuwa inaendelea na ilikuwa huk morogoro. kwangu mimi siwez kulaumu manake pia walilenga kupunguza possibilities za fujo kama ilivyokuwa imetokea siku chahe kabla ya zoez kuanza.

sion kama mkutano ya tume ya katiba ni hatari kama hii iliyokuwa inafanywa na chama pendwa wala sijui kama huyu mgombea uenyekiti kusindikizwa na marafiki zake kurudisha fomu ni vibaya.

ubaya niuonao mimi ni wa hawa waandish wetu wa habari kwanza ameshusha credibility ya CDM kitu ambacho ni kibaya sana hawez kusema wanaweweseka wakati wao hakuna ambapo wametatanika. Kimsingi waandish wetu hawana elimu a akutosha na sidan kama wahariri wa habar hizi huwa wanauwezo wa kusoma impact ya kalamu yao kwa society.
 
Huko sii kuweweseka Munyika amesema ukweli umwagikaji damu unao endelea ccm na selikar yake itabeba hii zambi kwakuto kuwa makini na mipango na maamzi yake

Nnchi hii ni ya watanzania wote sio ccm peke yao

Mkuu, hawa magamba/mafisadi hakika wanatia huruma. yaani siku hizi hata kiswahili kimewapotea, wanatupiatupia tu bora liende, ila uzuri ni kwamba wanazidi kuiongezea credit CDM huku pengine kwa UZUZU wao wanadhani wanaikomoa CDM. hebu kumbuka Mh. Mnyika alipomuita j.k DHAIFU. Walijawa povu bila sababu wakati kweli jamaa ni very weak.
kwa hiyo kwao KUWEWESEKA wameona ndo neno linalofaa hapo wakidhani wanaikandia CDM, ukiingia ndani kusoma habari yenyewe unabaki mdomo wazi. Lakini neno DHAIFU lilipotumiwa kwa ufasaha na mh. Mnyika kwa kilaza wao wakaona dosari, yaani hawa jamaa siku hizi hamnazo.


Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, ili waelimike waliondoe madarakani hili li-serikali la ccm magamba/mafisadi/majambazi/wauaji.
 
Mimi nikiwaambia chdm imejaa waropokaji mnabisha, siku zote ukishindwa kufuata taratibu utaishia kulalama tu. wenzenu wanafanya maandamano ya kistaarabu, ninyi mnasababisha maafa tukiangalia arusha, singida na sasa morogoro, tunapata picha mbaya kuhusu maandamano ya cdm, na hivyo kwa polisi kuchukua tahadhari kwa wauaji ni sahihi kabisa. haya tuangalie mambo ya katiba na sensa hivi kama mtu unaakili za kutosha unaweza kufananisha na mikutano ya mvt for Chagaland>? Na iweje nyie muwe mnasababisha maafa halafu mumpe raisi kazi ya kuunda mitume isiyokuwa na tija,? haya ndo mapungufu ninayoyaona kwa wanachadema they think too little.
Wana UAMSHO rudi darasani,vinginevyo utatumiwa saana na CCMizi,hujajua tu kama ushatumiwa,UAMSHO wote hamtakiwi kwa kuwa kwa sasa hamna kazi ya kuwafanyia?,we vuta subira mtatakiwa tena senso ikiisha baada ya kuwa mmeorodheshwa kwa lazima mbali na TANGAZO lenu kuwa msilm yeyote atakae he,,sa,,bi,,w.a ni ''KHAFIRI'' Ww vp? siku zinakwisha ushachukua ukhafiri wako?,
USHAURI:Achaneni na chama cha mabwepande,PANDE ndo ficho lao kunasiku watawaficha huko viongozi wenu bila huruma,hawana urafiki hao zaidi ya kuwatumia na kuwabwaga sasa mmebwagwa cha ajabu mtarudiana tena.
 
Back
Top Bottom