Chadema yawasha moto jangwani

Ngolinda

Senior Member
Apr 12, 2010
125
25
Haya ni baadhi ya matukio yaliyojiri katika ufunguzi wa kampeni za CHADEMA pale Jangwani:
Jamaa wamefunika......Marin aokolewa katikati ya makucha ya wananchi wenye hasira. follow link for more details.....source:wavuti - Habari
 
Haya ni baadhi ya matukio yaliyojiri katika ufunguzi wa kampeni za CHADEMA pale Jangwani:
Jamaa wamefunika......Marin aokolewa katikati ya makucha ya wananchi wenye hasira. follow link for more details.....source:wavuti - Habari
Unajua usiposhukuru utakuwa huna adabu; Mkuu tunashukuru sana kwa hizi picha. Plz ukiwa na uwezo zaidi tupe news bro.
 
HAPO HAPO JANGWANI SLAA AOA MKE MWINGINE....AMUACHA MKEWE WALIYEKUWA NAYE......JE HAYA Yasemwayo yana ukweli au majungu ya aliyenihabarisha?
 
HAPO HAPO JANGWANI SLAA AOA MKE MWINGINE....AMUACHA MKEWE WALIYEKUWA NAYE......JE HAYA Yasemwayo yana ukweli au majungu ya aliyenihabarisha?

mafisadi kwa udaku na majungu ni kama pete na kidole. Yaani huyu anaandika kama Sophia Simba
 
Back
Top Bottom