TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
TaiJike sidhani kama kuna designer yeyote wa ndani amekatazwa kudesign Gwanda kwa ajili ya kina Dada, kumbuka kila mtu anataka kuvaa kitu kutokana na uwezo wake kipesa, tofauti ya nguo inakuwa kwenye material ya kitambaa, angalia kwa makini hilo Gwanda la Linda, Dada yeyote anayejiweza kivijisenti angependa Gwanda lenye material hiyo na siyo kama linalovaliwa na wanaume.
Kinachotakiwa ni design tofauti na ya kiume ukisema uimport materials kutika nje haitapendeza kwani tayari tutakuwa tunajenga tabaka la wenye nacho na wasio nacho kwani kila mmoja anpenda kupendeza tatizo litakuwa ni gharama.