Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 223
- 66
Mawazo yako hayana tofauti na ya chama chako, mmekaa mnasubiria tu madaraka kutuibia, na wewe unapiga tu domokaya humu ili uyapate.hivi hamuoni tunawakataa?
We siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa Chadema. Sema Chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUIJUE TABIA YAKO".