CHADEMA yavunjavunja ngome ya CCM Same

Mawazo yako hayana tofauti na ya chama chako, mmekaa mnasubiria tu madaraka kutuibia, na wewe unapiga tu domokaya humu ili uyapate.hivi hamuoni tunawakataa?
We siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa Chadema. Sema Chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUIJUE TABIA YAKO".
 
Biashara yako unayo ifanya hapa ya kutuletea umagamba wako haina tija coz ni sawa na kuuza utumbo wa ng'ombe ulio kaa cku 3. This is a political tsunam, no one can block it.
 
Aluta continua CDM mpaka kieleweke. Mabilioni yanaliwa na wenye meno, ila 'wafanyakazi' kima chao cha chini ni 180, 000/= Watu lazima wahame!
 
Uongo ukikithiri hata yule anaeuleta huuamini kuwa ni ukweli.

Sisi tunasema, chukuweni magamba makavu yanayopukutika yenyewe. Tupo ngunguri!
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo!
Bomoa bomoa hii iendelee mpaka tujue mbivu na mbichi.

Baada ya hapo naomba M4C irudi hapa Arumeru Magharibi hakika Wanainchi wamechoka kbs na chama cha majambazi na hata pale makao makuu ya ccm pale kwa EL ni ya kuibomoa bomoa kbs.

Viva CDM,hakika wao wana pesa na sisi tuna MUNGU aliye hai sasa na hata milele!
 
we siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa chadema. Sema chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"madaraka humbadilisha mtu, yapate kwanza ndipo tuijue tabia yako".

huoni aibu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Una jora la t-shirt za kijani na njano home?
 
Baadaya kuzuiliwa na polisi hatimaye CDM kupitia makamanda wake LEMA NA OLLE MILLYA kuhutubia umati wa watu Same katika jimbo la Same Magharibi. Shughuli katika mji wa same zilisita na wimbo wa kila mtu ni PEOPLES POWER TU.Zaidi ya wanachama 300 wamehamia na kupewa kadi.Hizi ni salamu tosha kwa David Mathayo ambaye ama kwa hakika ameshaona mwisho wake 2015.

Huyu jamaa kwenye red ni bomu sana;wakati anakuja kwa mara ya kwanza kutaka ateuliwe agombee makeke meengi..ila amebaki kuwa mtu wa kuwanunulia sukari wazee kila anapokuwa na vikao,hata umeme kusambaza unamshinda nguzo zinakaa mpaka Tanesco wanabeba kuondoa..mi naona Bora M4C ichukue mkondo wake..na kwa takwimu tu ni kuwa wilaya ya same ndio ambayo katika mkoa wa kilimanjaro iko nyuma kwa aspect tofauti za maendeleo na pia kambi ya magamba!waokoeni wana same na rasilimali zinazoenda kuuzwa Kenya.
 
nyoka anapigwa kichwani ili afe msipige kwenye mkia.waje tu maccopolo bado inanafasi
 
Back
Top Bottom