trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Mi sijapenda huo utangazaji wa wanachama waliohamia CDM kutoka CCM. Ni kama kukopi strtegy ya CCM. Sioni kama ni kitu cha kukifanya kuwa habari kwa kweli. Tena nilitaka kupita maana sikuona maana yeyote kwenye hii thread.. Ni upumbavu uliokithiri kuifanya hii kuwa habari..
Shame on him..
Shame on him..