MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
weka majina na picha zao hapa wote 960 kama ni kweli? umeongeza hesabu kunogesha mjadala
CDM Arusha imeanza kubaini siasa si maandamano wala si Lema pekee yake.I hope hawa watoto si miongoni mwa wanachama wapya 960 ha ha ha ha ha ha ha.
Si bure Ritz unamatatizo! Kisima kimoja ni kuanzia milioni tatu leo wewe milion 40 unasema hauwezi kuchimba hata kisima kimoja! Huko ni kujidhalilisha Ritz!
Tueleze source ya Income ya hizo pesa na sio blah blah!!Naona umechukuwa mikoba ya Shekh Yahya!
Duh huo ndio UMATI wa watu!!! Kha! Kweli ukipenda, hata chongo utasema ni kengeza!
weka majina na picha zao hapa wote 960 kama ni kweli? umeongeza hesabu kunogesha mjadala
Umati ili uwe umati ni kuanzia watu wangapiii? ila kama 960 ndo waliorudisha kadi ukijumlisha wasiorudisha at any measurement ni umati, any way cha msingi ni mradi huo ulozinduliwaDuh huo ndio UMATI wa watu!!! Kha! Kweli ukipenda, hata chongo utasema ni kengeza!
Kwa CCM hata kama ingekuwa mil400 haitoshi maana hapo ukiweka na genji ya viongozi magamba hautaona maji wala nini, lakini kwa chadema mil40 ni nyingi!! maana hakuna kupeana ulaji, kama una akili vizuri utanielewa!! lakini kuhusu ccm members 960 kurudisha kadi, si kitu cha kushangaza kwa sasa, ni nani asiyejua kuwa ugumu wa maisha tulionao unasababishwa na serikali ya magamba? kuhusu madai kuwa tunasema hakuana wanachama wa ccm na hao wametoka wapi, si jambo la ajabu kuona katika watu elfu 20000 ukakuta magamba 960 ambayo nayo yananyofuka kutoka kwa mama yao(ccm)!!. mi nafikiri uwe muungwana ushukuru hata hao wananchi wamepata hayo maji kwani ingekuwa ni nyinyi, mil 40 zingeishia kuweka alama za mabomba yatakapopita hakuna cha zaidi.Mradi wa Sh40 Milioni? Hiyo pesa hata kisima kimoja huwezi kuchimba..
Chadema bana kila siku mnasema Arusha hakuna CCM ni Chadema tu sasa hao watu 960 wametoka wapi?
CDM Arusha imeanza kubaini siasa si maandamano wala si Lema pekee yake.I hope hawa watoto si miongoni mwa wanachama wapya 960 ha ha ha ha ha ha ha.
Chadema kanda ya ziwa ni zaidi ya wabunge sita wakati kanda ya kazikazini hawazidi 5 sasa ukanda unatoka wapi kama ni hivyo kwanini msisema ni cha kanda ya ziwa... Tutapokea ushauri lakini sikila ushauri hata kama ni wakijinga no....Siku zote CHADEMA hamko tayari kukosolewa wala kupokea ushauri, Suala la chama kuwa cha kikanda litawagharimu na wala hamtafikia malengo mnayoyakusudia ya kumweka Padri wenu Ikulu sana sana ataishia kwenda kunywa chai, juisi na kahawa tu.
Duh huo ndio UMATI wa watu!!! Kha! Kweli ukipenda, hata chongo utasema ni kengeza!
peoplesssssssssssssssssss..................