CHADEMA yavuna 960 kutoka CCM Arusha

Mimi nilidhani wamevuna watu Dodoma, Singida, Pwani, Shinyanga, Rukwa au Zanzibar!!!!!......Kumbe ni Arusha kule kule. Fanyeni chama kiwe cha kitaifa siyo cha kikanda bana.... kwa hali hii Urais ni ndoto kwenu.
kwa hiyo wewe sio mmoja wa hao unaowapa ushauri; why bother? unajua mpango wa uchimbaji visima uliowekwa na CHADEMA?
Au unaongea tu kujaza post.
 
Si bure Ritz unamatatizo! Kisima kimoja ni kuanzia milioni tatu leo wewe milion 40 unasema hauwezi kuchimba hata kisima kimoja! Huko ni kujidhalilisha Ritz!

Ndio tatizo la kupenda kuropoka bila kufanya tafiti ilo mkuu,yaani vibaraka wa magamba wao wakiona hoja wanarukia tu bila hata kutafiti,ila sishangai,ndio style ya chama chao chote
 
Ndio tatizo la kupenda kuropoka bila kufanya tafiti ilo mkuu,yaani vibaraka wa magamba wao wakiona hoja wanarukia tu bila hata kutafiti,ila sishangai,ndio style ya chama chao chote
Utasikia Chadema imeingiza makomandoo 32 kutoka Palestine, Afghanistan, Libya....
 
NDANI YA MIAKA 5O YA UHURU CCM WAMESHINDWA KUPELEKA HT MRADI WA MAJI WA 1ML KWENYE KIJIJI HICHO, kama unaakili timamu unaweza kutueleza sababu za kushindwa kufanya hvy?

Hiyo issue ya mradi wa Sh40 milioni ni ya kawaida sana...

Mbunge wa Morogoro Kusini, Inocent Kalogeris, katumia zaidi ya Sh550 milioni kutengeneza barabara yenye umbali wa kilometa tatu kwa kiwango cha lami.

katika mji mdogo wa Mtamba, Tarafa ya Matombo, ni pesa yake mwenyewe sio kutoka serikalini, sasa na huyu nae atasemaje?

Kama una akili timamu chukuwa hii mpelekee Lema.
 
Umeonaeee...Miaka 50 full ukata miundo mbinu hadi majanga yatokee ...Aibu kwa MAGAMBA
Nimepita kwenye barabra ya kuelekea atakapo zikwa Mh. Sumari barabara imekwanguliwa na inanyeshewa na kawauliza wakazi wa huko wakasema ni neema tuliyo ipata baada ya kusahaulika kwa miaka mingi sasa wametukumbuka sijui kwasababu wakubwa watapita kwenye barabra hiyo maana ilikuwa ni mahandaki tu...
 
Arusha, siku zote mnasema ni kambi ya Chadema, sasa hao watu 960 wametoka wapi?

Tumia kichwa kwa kuwaza na kutafakari kabla ya kuja humu jamvini!

CDM wamevuna hao wanachama ktk jimbo la naibu waziri wa ardhi Ole Medeye ambaye ni mzigo kwa wanainchi wa jimbo lengwa.

Sasa unasema unasema Arusha ni ngome ya CDM na hao watu wametoka wapi,Mi nakushangaa na maulizo yako yasiyo na kichwa wala mbele!

Tafakari kabla ya kuanguka humu tafadhali!
 
Hiyo issue ya mradi wa Sh40 milioni ni ya kawaida sana...

Mbunge wa Morogoro Kusini, Inocent Kalogeris, katumia zaidi ya Sh550 milioni kutengeneza barabara yenye umbali wa kilometa tatu kwa kiwango cha lami.

katika mji mdogo wa Mtamba, Tarafa ya Matombo, ni pesa yake mwenyewe sio kutoka serikalini, sasa na huyu nae atasemaje?

Kama una akili timamu chukuwa hii mpelekee Lema.
Pumb, usitudanganye garama ya barabara ya kiwango cha lami kwa mahesabu ya CCM ni takribani bil 1.6 iweje leo mil 550 ijenge km 3 hata hivyo kwa CCM hilo si la kujivunia kazi ya ujenzi wa barabra ni la serikali hivyo mbunge kujenga kwa pesa yake ni aibu kwa serikali ya CCM na si kujivunia..
 
kwa hiyo wewe sio mmoja wa hao unaowapa ushauri; why bother? unajua mpango wa uchimbaji visima uliowekwa na CHADEMA?
Au unaongea tu kujaza post.

JF sio sehemu ya porojo wala udaku, yaani visima vichimbwe na pesa ya Mustafa Sabodo, halafu wewe Chadema-Kata unasema ni mpango wa Chadema! Kazi kweli kweli.
 
Mradi wa Sh40 Milioni? Hiyo pesa hata kisima kimoja huwezi kuchimba..

Chadema bana kila siku mnasema Arusha hakuna CCM ni Chadema tu sasa hao watu 960 wametoka wapi?
Hapa Dar es salaam Kampuni ya Bahdela Drilling gharama ya kuchimba kisima kimoja kirefu ni shilling 3500,000/= sasa mwenzetu sijui unazungumzia kisima au kisimi?
 
Duh huo ndio UMATI wa watu!!! Kha! Kweli ukipenda, hata chongo utasema ni kengeza!
Amakweli wivu ni mbaya, sasa hapo kijijini ulitaka kuona umati wa namna gani wewe kama sio ujuha unakusumbua? Big-up CDM big-up Amani Golugwa na viongozi wenzako, tuko pamoja na nyie katika haya mapambano.
 
Pumb, usitudanganye garama ya barabara ya kiwango cha lami kwa mahesabu ya CCM ni takribani bil 1.6 iweje leo mil 550 ijenge km 3 hata hivyo kwa CCM hilo si la kujivunia kazi ya ujenzi wa barabra ni la serikali hivyo mbunge kujenga kwa pesa yake ni aibu kwa serikali ya CCM na si kujivunia..

Ha! Ha! Ha! Ha! Mbona majibu yako ayaeleweki? Kwa hiyo hutaki kukubali kama Mbunge wa Morogoro Kusini, Inocent Kalogeris, kama kajenga barabara?
 
kwa hiyo wewe sio mmoja wa hao unaowapa ushauri; why bother? unajua mpango wa uchimbaji visima uliowekwa na CHADEMA?
Au unaongea tu kujaza post.

Nimetoa ushauri kwa CHADEMA.....Kwa nini kila wanachofanya ni kanda ya kaskazini tu????? Eleza hapa huo mpango ni wa visima vingapi na vinachimbwa wapi? au unasema tu ili kutetea UCHADEMA wako???
 
Mbunge wa Morogoro Kusini, Inocent Kalogeris, katumia zaidi ya Sh550 milioni kutengeneza barabara yenye umbali wa kilometa tatu kwa kiwango cha lami.
Ndio maana unaitwa ngumbaru mil. 550 zijenge km 3 za lami? lami ya kichina?
 
Back
Top Bottom